Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Kitabu kitakuja na cover price ya 18,000; mojawapo ya maduka makubwa nchini ambayo tumeomba tuweze kuuza wao wanataka 40% ya cover price! hii ni sawa na 7200Ths. Angalia:
Gharama ya kuchapa kitabu kimoja ni 7900Tsh
Gharama ya kusafirisha kwa kila kitabu 500Tsh
Gharama ya duka la vitabu 7200Tsh
Kumlipa msaidizi wangu kwa kusimamia mauzo kwa kila kitabu 1000Tsh
Matangazo ya biashara 2 kwenye magazeti tofauti 700 per book
Jumla ya gharma ya kukifikisha hiki kitabu ni 17,300!!!
Vinginevyo wao wanunue kwenye wholesale na kuuza kwa bei yao
gademu!!!! Kweli anayetaka cha uvunguni sharti ainue kitanda!
Gharama ya kuchapa kitabu kimoja ni 7900Tsh
Gharama ya kusafirisha kwa kila kitabu 500Tsh
Gharama ya duka la vitabu 7200Tsh
Kumlipa msaidizi wangu kwa kusimamia mauzo kwa kila kitabu 1000Tsh
Matangazo ya biashara 2 kwenye magazeti tofauti 700 per book
Jumla ya gharma ya kukifikisha hiki kitabu ni 17,300!!!
Vinginevyo wao wanunue kwenye wholesale na kuuza kwa bei yao
gademu!!!! Kweli anayetaka cha uvunguni sharti ainue kitanda!