Mm ni msichana nina 24 yrs,last wk ndo nimekutana na cousin wangu for the 1st tym, before hatukujuana kabisa. Basi tulipojuana 2kafurah sn tukapiga story sn 2kagundua interest zinaendana sana, kumbe mwenzangu kanipenda tena mpaka analia yupo radhi asiende kazn ila aje 2pige storry nimemwambia ninampnz lakin hanielewi,pia nimemwambia sisi ni ndugu haelewi anadai ninasifa zote anazozitaka, na ananipenda kweli kuliko myboy, Sijui hata nifanyeje kunusuru undugu wetu.
Mm ni msichana nina 24 yrs,last wk ndo nimekutana na cousin wangu for the 1st tym, before hatukujuana kabisa. Basi tulipojuana 2kafurah sn tukapiga story sn 2kagundua interest zinaendana sana, kumbe mwenzangu kanipenda tena mpaka analia yupo radhi asiende kazn ila aje 2pige storry nimemwambia ninampnz lakin hanielewi,pia nimemwambia sisi ni ndugu haelewi anadai ninasifa zote anazozitaka, na ananipenda kweli kuliko myboy, Sijui hata nifanyeje kunusuru undugu wetu.
jf is never boring lol
Ww zhuneba yule mwanaume uliyesema hajakuambia "i love u na i miss u" kwa miezi tisa umeamuaje?
jf is never boring lol
Nani kakwambia binamu ni haramu kuoana. Sio makabila yote think the same.
kwa mlolongo huu, huyu Z ni maharage ya mbeya, maji mara moja tu!!!ndo matatizo ya vicheche kuingia humu ndani, loh!kila akitongozwa anataka 'greater thinkers' tumshauri,pambafu!!
Ridhisha nafsi yako, cousin si ndugu katika mambo hayo
Ridhisha nafsi yako, cousin si ndugu katika mambo hayo