kundi la walimu lipo kwenye Gold gifted according to plato! napinga kimbilio la waliofeli sio ualimu, nimesomeka vizuri ?
huo ni mtazamo tu ila in real world ualimu kwa Tanzania wanaenda watu waliopigwa vitanzi na hata ukiwasikia malengo yao wengi wanaenda kufundusha sio kwamba wanapenda hizo kazi zao ndo maana hawafundishi kwa moyo mmoja na wengi wanamalengo ya kubadilisha fani zao za ualimu hapo tena kuna nini.....