Jestina
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,831
- 1,710
Wakuu,
Naomba msaada wa kujua masomo ya distance learning ndio inakuwaje??? Inahusisha masoma ya aina gani na mtu anaweza soma vipi? Ina uzito wowote katika maeneo ya kazi ama inatambulika na taasisi mbali mbali? Totauti yake nini kusoma hio na kusoma kabisa darasani? mtu unaelewa kabisa kama uko darasani???:redface:
Natanguliza shukrani.
Naomba msaada wa kujua masomo ya distance learning ndio inakuwaje??? Inahusisha masoma ya aina gani na mtu anaweza soma vipi? Ina uzito wowote katika maeneo ya kazi ama inatambulika na taasisi mbali mbali? Totauti yake nini kusoma hio na kusoma kabisa darasani? mtu unaelewa kabisa kama uko darasani???:redface:
Natanguliza shukrani.