hames amos
Member
- Feb 24, 2019
- 9
- 2
Natamani kuwa mfanyabiashara nakusomea ila paka saiv sijui Nita apply nisome course gan chuo maana nimehitimu kidato cha NNE 2018 Nina dv3 ya22 Nina credit masomo yote but pass ya math na physics F naombeni ushauri kuhusu course nzur itakayo nipa Uhuru wakua mfanyabiashara au kudeal na mambo ya kibiashara..ahsanteni wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app