JE NI COURSE GANI YA AFYA ITAWEZEKANA KUSOMA,

JE NI COURSE GANI YA AFYA ITAWEZEKANA KUSOMA,

a small one

Member
Joined
May 22, 2017
Posts
51
Reaction score
27
Habarini wana jf, nina mdogo wangu kamaliza kidato cha nne 2016, na matokeo yake yalikua hivi...............physics D, chemistry C, biology C, geography C, English C,civics C, kiswahili C,history D, na basic math F.....swali langu ni course gani ya afya anaweza kusomea maana kila nkiangalia hesabu amezingua basi nakata tamaa juu ya course za afya......msaada wenu please wakuu
 
Habarini wana jf, nina mdogo wangu kamaliza kidato cha nne 2016, na matokeo yake yalikua hivi...............physics D, chemistry C, biology C, geography C, English C,civics C, kiswahili C,history D, na basic math F.....swali langu ni course gani ya afya anaweza kusomea maana kila nkiangalia hesabu amezingua basi nakata tamaa juu ya course za afya......msaada wenu please wakuu
Pharmacy au maabara
 
Option ni math D or English D
One of them.

Hapo anaweza pata:-
Maabara
Clinical officer
Pharmacy
Mifungo


Vyote kwa ngazi ya diploma
Mkuu apo English ana C ila hesabu kala mswaki, kwaiyo kupata ivi CO hakuna pingamizi?
 
Mkuu apo English ana C ila hesabu kala mswaki, kwaiyo kupata ivi CO hakuna pingamizi?
jamani ufaulu wa math na English ni added advantage sio lazima,labda Kama neno added advantage cjalielewa vizuri
 
jamani ufaulu wa math na English ni added advantage sio lazima,labda Kama neno added advantage cjalielewa vizuri
Kidogo nmekuelewa apo mkuu asante sana, endapo akatokea mwingine basi tutaendelea kujua zaidi
 
Kijana sikiliza achana na hao wanaokumbia hamna shida hiyo mathe-F itakuumiza tu nacte sio mama yako..
Kuna dogo kamaliza mwaka jana, kwenye comb aliweka PCB PCM CBG tu ila juzi kati kakuta nacte wamempagia HGL akasome advance[emoji58][emoji58][emoji58]
 
Back
Top Bottom