Clark cian
Senior Member
- Jul 3, 2021
- 198
- 214
Uipate au uikose Ila mziki wake sio wakitoto alafu ajira yake nayo ni mziki mwingine 😂😂😂😂 yaani CD JUU YA CD chagua mwenyeweSamahani huku kote ni kutaka kufahamu kiundani course hii inayotilewa na SUA ,hivi SUA wanahitaji point ngapi ili kuweza kuisoma hii course?kwasababu Mimi nimemaliza mwaka huu advance na nimepata C both kwenye chemistry na biology he nikiapply naweza kuipata au nitaikosa?maoni yenu wadau wa elimu
Vipi we umekiwasha hiyo course au umesikiliza yakuambiwaUipate au uikose Ila mziki wake sio wakitoto alafu ajira yake nayo ni mziki mwingine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani CD JUU YA CD chagua mwenyewe
Mdogo wangu, tulia nenda taratibu, ukiona moshi jua Kuna motoVipi we umekiwasha hiyo course au umesikiliza yakuambiwa
😆😅😄😃😂😁😀😂😂😁😁Uipate au uikose Ila mziki wake sio wakitoto alafu ajira yake nayo ni mziki mwingine 😂😂😂😂 yaani CD JUU YA CD chagua mwenyewe
Usitishe watu wewe, kama wewe ulidisco usifikiri kila mtu atafeli.Mdogo wangu, tulia nenda taratibu, ukiona moshi jua Kuna moto
Ahsante ndugu yangu kwa kuwa una akiliUsitishe watu wewe, kama wewe ulidisco usifikiri kila mtu atafeli.
Achana hiyo course huwezi chaguliwa,sio kwamba huna vigezo Bali competition itakutoa out.Samahani huku kote ni kutaka kufahamu kiundani course hii inayotilewa na SUA ,hivi SUA wanahitaji point ngapi ili kuweza kuisoma hii course?
Kwasababu Mimi nimemaliza mwaka huu advance na nimepata C both kwenye chemistry na biology he nikiapply naweza kuipata au nitaikosa?maoni yenu wadau wa elimu
[emoji870][emoji113][emoji870][emoji870]Achana hiyo course huwezi chaguliwa,sio kwamba huna vigezo Bali competition itakutoa out.
Utateseka chuon na utateseka mtaani pia, achana na huo uchafu. Kama unataka kwenda SUA kapige Nutrition, hii kwasasa inaenda kuwa marketable maana serikali tayari wapo njian kuja na mpango mkakati kuhusu lishe maana Malnutrition(Overnutrition) imeanz kuwa tishio hasa miji mikubwa, ukikosa hiyo kapige Food Science and Technology kwasababu Viwanda vyote vya chakula na Vinywaji wanahitajika hawa watu, huwa wanaitwa Food Scientists, hutaki huko kote kapige Agriculture General, ila km wew unajifanya nunda bisha then utasaga meno.Samahani huku kote ni kutaka kufahamu kiundani course hii inayotilewa na SUA ,hivi SUA wanahitaji point ngapi ili kuweza kuisoma hii course?
Kwasababu Mimi nimemaliza mwaka huu advance na nimepata C both kwenye chemistry na biology he nikiapply naweza kuipata au nitaikosa?maoni yenu wadau wa elimu
Nilishamwambia huko juu kajiona anaweza hajui sio tuliocheza michezo ya utoto na baba yake tunajua zaidi yake😳😳😳🏃🏃🏃Utateseka chuon na utateseka mtaani pia, achana na huo uchafu. Kama unataka kwenda SUA kapige Nutrition, hii kwasasa inaenda kuwa marketable maana serikali tayari wapo njian kuja na mpango mkakati kuhusu lishe maana Malnutrition(Overnutrition) imeanz kuwa tishio hasa miji mikubwa, ukikosa hiyo kapige Food Science and Technology kwasababu Viwanda vyote vya chakula na Vinywaji wanahitajika hawa watu, huwa wanaitwa Food Scientists, hutaki huko kote kapige Agriculture General, ila km wew unajifanya nunda bisha then utasaga meno.
Tungependa na wewe utupe muongozo..Ngoja waje kukupa muongozo...
Wewe apply tu mkuu hamna mtu atakupa jibu sahihi la swali lako maana sisi walimu wa Vet!! Kwa kifupi inategemea ushindani ukoje, wewe apply tu maana kuapply sio dhambi!!Samahani huku kote ni kutaka kufahamu kiundani course hii inayotilewa na SUA ,hivi SUA wanahitaji point ngapi ili kuweza kuisoma hii course?
Kwasababu Mimi nimemaliza mwaka huu advance na nimepata C both kwenye chemistry na biology he nikiapply naweza kuipata au nitaikosa?maoni yenu wadau wa elimu
Dah!!!!broh hapa umenipa point za msingi asante sanaUtateseka chuon na utateseka mtaani pia, achana na huo uchafu. Kama unataka kwenda SUA kapige Nutrition, hii kwasasa inaenda kuwa marketable maana serikali tayari wapo njian kuja na mpango mkakati kuhusu lishe maana Malnutrition(Overnutrition) imeanz kuwa tishio hasa miji mikubwa, ukikosa hiyo kapige Food Science and Technology kwasababu Viwanda vyote vya chakula na Vinywaji wanahitajika hawa watu, huwa wanaitwa Food Scientists, hutaki huko kote kapige Agriculture General, ila km wew unajifanya nunda bisha then utasaga meno.
Utateseka chuon na utateseka mtaani pia, achana na huo uchafu. Kama unataka kwenda SUA kapige Nutrition, hii kwasasa inaenda kuwa marketable maana serikali tayari wapo njian kuja na mpango mkakati kuhusu lishe maana Malnutrition(Overnutrition) imeanz kuwa tishio hasa miji mikubwa, ukikosa hiyo kapige Food Science and Technology kwasababu Viwanda vyote vya chakula na Vinywaji wanahitajika hawa watu, huwa wanaitwa Food Scientists, hutaki huko kote kapige Agriculture General, ila km wew unajifanya nunda bisha then utasaga meno.
we umemaliza hii course ?Mm kama graduate ,Nakuunga mkono ndugu