ha ha ha duuu.. ama kweli Daby ni mtu maya sana.
yani hadi dada yangu miss natafuta analijua hilo. huyu huwa hadanganyagi na harembi, yani akisema kitu 100$% ni ukweli
ha ha ha duuu.. ama kweli Daby ni mtu maya sana.
yani hadi dada yangu miss natafuta analijua hilo. huyu huwa hadanganyagi na harembi, yani akisema kitu 100$% ni ukweli
Nilishakuonya toka jana huyu mfanyakaz wa jf ana gubu na wivu balaa,,dady mbona mm masai mwenzako lakin nakula kwa macho tu?? Tulia wewe,,au wewe laiyoniii??
Nilishakuonya toka jana huyu mfanyakaz wa jf ana gubu na wivu balaa,,dady mbona mm masai mwenzako lakin nakula kwa macho tu?? Tulia wewe,,au wewe laiyoniii??
Ha ha ha nan kakuambia mvaa rubega mjini ana hela?? Wavaa rubega mereran ndio komesha,hapa town atakua na kaz mbili ulinzi au kusuka mabinti labda ndio maana wanamgombea
Ha ha ha nan kakuambia mvaa rubega mjini ana hela?? Wavaa rubega mereran ndio komesha,hapa town atakua na kaz mbili ulinzi au kusuka mabinti labda ndio maana wanamgombea