Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,693
- 26,213
Lewis254 amebakia kulia lia tangu TRC ilipoanza majaribio😎Wakenya Hata walie machozi ya aina gani hawatajenga reli yenye Kiwango Kama hii , na sio Kenya tu ni nchi zote afrika kasoro Morocco .