Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,219
- 79,511
- Thread starter
- #8,341
Arusha train rehabilitation 2020
That's not Cape Gauge Railway that's a Meter Gauge Railway!Acha kuchafua thread na ma cape gauge hapa,
It's either muvute hii thread or SGR only.
Tofauti ni gani?That's not Cape Gauge Railway that's a Meter Gauge Railway!
Cape gauge the width is above 1 meter i.e. 1,067 mm ! kunyaland doesn't have Cape Gauge Railway!Tofauti ni gani?
Umeona mkenya akichafua hii thread na meter gauges zao zinazofanyiwa rehabilitation.
Blackouts kw ajili ya maintanance ndio inakuumiza akiliHiyo nuclear iko wapi ss mbn mnapenda kuongopewa ninyi watu, mnaweza ku afford gharama za nuclear? nyie subirini tuwauzie umeme wa bei rahisi muondokane na blackouts cz we are a Father of this region
Hta sgr mlikopa pesa lkn bado mkulu anawadangayaTanzania ilikopa wapi fedha za ujenzi wa stieglers gorge?
Bado uzinsuzi mta postpone tenaUkiangalia video ya Aug update 2020 from 143km bado ndio wanafanya earth work, from 175km to 201km Nimeona mabadiliko makubwa...from zero km to 20km bado kazi mingi haijakamilika....from 20 km to 70 km 100%Complete, from 70km to 136 km well done
Hyo ni ishu ya 2021 gezaIla 0-20 km kuna mabadiliko overpass ya Kigogo (Kawawa Road) halikuwapo mwezi uliopita na nadhani update ya mwezi ujao overpasses za Nkrumah na Bakhresa zitakuwa tayari haswa kama piers zitakuwa za steel. Kiukweli nadhani kuna uwezekano mkubwa wakaanza kutandika reli at least from station to Bakhresa maana pia Pugu tayari kuna tuta na drainage system! nafikiri by December hii maneno itakuwa tayari!
Hyo ni ishu ya 2021 geza
Pianikumbukwe. Timua Dar moro imesogezwa moro malotopora. Kwa kinapigwa mande kipande hiçho. Kitaisha ndani ya musa mfupi sana. Mahandaki ndio yalikuwa yanachelewesha kazinkuenda polepoleReli itaisha vizuri tu.. tena ukizingatia kipande cha Moro-Dodoma ndo kirahisi na sehemu kubwa imeshafanyika, by 2022 tunaenda Dodoma na treni ya umeme.
Delays kwenye miradi ya miundombinu ni kitu cha kawaida, ukizingatia huu ni mradi wa design and build, ina maana challenges huwa zinakuwa tackled head on tofauti na ile ambayo design huwa inakamilika kabisa kabla ya kujenga.. mfano, mto ruvu ulikuwa very challenging, mpaka pamejengwa madaraja 10?
Hiyo sehemu ya SGR ku branch out to port tulishajadili sana humu kwenye hii thread lakini kuna baadhi ya wabishi hawakutuelewa.SGR Dar-Moro: the 2.5 km viaduct update...
MY TAKE
For those Kunyans who were arguing of our SGR not reaching Dar port, listen at 4.07-4.58, the Port link is well explained and branches out at 4km mark from Dar station!
ni hatar mkuu hayo ndiyo mambo ya building & desgning tuliwapoteza maboya kidogo majirani....ila sasa wataelewaSGR Dar-Moro: the 2.5 km viaduct update...
MY TAKE
For those Kunyans who were arguing of our SGR not reaching Dar port, listen at 4.07-4.58, the Port link is well explained and branches out at 4km mark from Dar station!
Kuna vichwa ngumu walitusumbua sana hapa. Hapo kwenye branching nilikuwa kila nikipaangalia sipaelewi kumbe jamaa wanajua wanachofanya. Kweli km 0 mpaka 20 ni korofi! Mpaka wahusika wenyewe wanakiri.Hiyo sehemu ya SGR ku branch out to port tulishajadili sana humu kwenye hii thread lakini kuna baadhi ya wabishi hawakutuelewa.