Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

😂😂😂 when sheet hits the fan...
hii safari bado ni ndefu sana aiseee 👇

IMG_20240513_153341.jpg
 
🤣🤣🤣🤣🤣
IMG_20240530_185357.jpg

kama bado nawaona wapo hapa vile...
bado wanaendelea kushangiria 🤣
 
history repeats itself. ni wapi ulisikia ndege ya Kq imeshikwa au serikali ya Kenya inadaiwa na mtu binafsi?
kuna pahali uliwai sikia Kenya imeonewa huruma na kusamehewa deni la aina yoyote???
kwa hio kuwa mpole.
Utaishi kwa raha na starehe ukiacha kufuatilia mambo ya Tz; wewe nyang'au wa bongo😎😎
 
Wewe ni mpumbavu kama huna credible data pita kushoto
katuni kweli ww. tuongee ukweli/ uhalisia. kitu kilichopo na sio kisichokuwepo. hakuna cha "unajua, unajua, unajua...... " mpaka saa ngapi?
Dar Port ina handle 17m tons of which 10 inapotelea Dar, 5m tons ni ya Tanganyika na 2m tons inaenda na Tazara. huo ndio ukweli. hakuna mzigo wowote unaoelekea Mwanza...
rekodi zote utazipata bandarini... usituletee assumptions zako hapa 🤣
wake up!
 
katuni kweli ww. tuongee ukweli/ uhalisia. kitu kilichopo na sio kisichokuwepo. hakuna cha "unajua, unajua, unajua...... " mpaka saa ngapi?
Dar Port ina handle 17m tons of which 10 inapotelea Dar, 5m tons ni ya Tanganyika na 2m tons inaenda na Tazara. huo ndio ukweli. hakuna mzigo wowote unaoelekea Mwanza...
rekodi zote utazipata bandarini... usituletee assumptions zako hapa 🤣
wake up!
Embu update upumbavu wako hapa

 
not really.... jirani anafanya kitu akidhani anatukomoa. ana ulazma wa ku-counter chochote/ lolote tunalolifanya mwisho wake anaanguka vibaya hadi anatia aibu.
sio bagamoyo, sio atcl, sio dry port, sio sgr.... baadae anaishia kukunja mkia 🤣🤣🤣🤭
BRT je? 🤣🤣🤣🤣
 
😂😂😂 when sheet hits the fan...
hii safari bado ni ndefu sana aiseee 👇

View attachment 3003964
Chanzo 🤣🤣🤣🤣
You place your integrity on that stupid source what a weirdo.

We fala soma hiyo 👇

 
😂😂😂😂😂
nchi imejiingiza kwenye madeni hatari....
can't wait for this to happen soon 👇
IMG_20240531_184138.jpg
 
Back
Top Bottom