Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Electric train ya mizigo Tz inachukua masaa 7 Dar mpaka Mwanza distance of 1000km
jamaa, wacha bhangi. uliwai ona wapi 'Electric train ya mizigo' ndani ya Tz. nakwambia kila siku wachana na ndoto za mchana.
reli ni dar - dom, 540km. sasa huko kwingine huwa inapaa?
 
Kama nchi unawezaje kweli kukosa hela ya kutandika reli isiyokuwa ya umeme?!!!! Miundombinu yake haina complications kama reli ya umeme ๐Ÿ˜
ile headache munayoenda kukutana nayo huko mbele ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚... akili zenu nyote zinakaa ki kinjekitile ngwale ๐Ÿคฃ
 
jamaa, wacha bhangi. uliwai ona wapi 'Electric train ya mizigo' ndani ya Tz. nakwambia kila siku wachana na ndoto za mchana.
reli ni dar - dom, 540km. sasa huko kwingine huwa inapaa?
ndugu, tungependa uelewe kwamba, reli ni toka DSM hadi Mwanza, ila kipande ambacho kimeshakamilika ni Dar to Dodoma. Dar to Mwanza inapita Dodoma, na kama una ndugu zako wa Kisumu ambao huwa wanafika Mwanza watakuambia kuwa wameona madaraja ya juu jijini mwanza ya kupitisha reli kuanzia ziwani. muda si mrefu kipande cha Dodoma to Mwanza kitakamilika hivyo train itaanzia Dar hadi Mwanza kwa masaa si zaidi ya 7. Tanzania ni kubwa, mwanza to Dar ni mbali sana, na ujue Tanzania ukubwa wake unganisha Uganda, kenya, rwanda na Burundi ndio utapata Tanzania.
 
ndugu, tungependa uelewe kwamba, reli ni toka DSM hadi Mwanza, ila kipande ambacho kimeshakamilika ni Dar to Dodoma. Dar to Mwanza inapita Dodoma, na kama una ndugu zako wa Kisumu ambao huwa wanafika Mwanza watakuambia kuwa wameona madaraja ya juu jijini mwanza ya kupitisha reli kuanzia ziwani. muda si mrefu kipande cha Dodoma to Mwanza kitakamilika hivyo train itaanzia Dar hadi Mwanza kwa masaa si zaidi ya 7. Tanzania ni kubwa, mwanza to Dar ni mbali sana, na ujue Tanzania ukubwa wake unganisha Uganda, kenya, rwanda na Burundi ndio utapata Tanzania.
Linajua hilo lijamaa linalojiita Lewis254 sema tu limeamua kujizima data๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜‰
 
ndugu, tungependa uelewe kwamba, reli ni toka DSM hadi Mwanza, ila kipande ambacho kimeshakamilika ni Dar to Dodoma. Dar to Mwanza inapita Dodoma, na kama una ndugu zako wa Kisumu ambao huwa wanafika Mwanza watakuambia kuwa wameona madaraja ya juu jijini mwanza ya kupitisha reli kuanzia ziwani. muda si mrefu kipande cha Dodoma to Mwanza kitakamilika hivyo train itaanzia Dar hadi Mwanza kwa masaa si zaidi ya 7. Tanzania ni kubwa, mwanza to Dar ni mbali sana, na ujue Tanzania ukubwa wake unganisha Uganda, kenya, rwanda na Burundi ndio utapata Tanzania.
lakini ni treni hii hii iliyomaliza masaa matano njiani kutoka dar - moro 200km sasa kutoka dar mpaka mwanza si itamaliza wiki nzima?
labda pengine hujui tulikotoka. hebu pitia hapa ๐Ÿ‘‰ SGR na Zimwi la Uhairishwaji kila Muda
usipende kukariri
 
Mama kazi imemshinda....Yepi wamesimama tangu Oct kati Tabora na Dodoma hakuna kitu wakandarasi wanadai sana kila siku story za TRC na Yepi hela hakuna kutoka hazina.....ADB wametukopesha nadhani wamechepusha hizo pesa.....acha isimame....tulisema kujwnga SGR ujanja ujanja miaka 20.....ma chawa wakabisha......
ma chawa wana shida sana. wagumu kuelewa
 
Ile ilikuwa imebeba empty containers for show
lia zaidi
F3Ed6UCWQAAe7jH.jpeg
 
hii habari haijakaa poa sana aisee ๐Ÿ˜† ๐Ÿ‘‡
IMG_20240507_001503.jpg

wabongo wote right now ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
images-10.jpeg

images-9.jpeg
 
hii habari haijakaa poa sana aisee ๐Ÿ˜† ๐Ÿ‘‡
View attachment 2986391
wabongo wote right now ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡View attachment 2986392
View attachment 2986393
Hata ingekuwa wewe kwa akili ya kawaida uchague kati ya hizi reli mbili ungechagua kujiunga na reli ipi?
Time will tell kaa kwa kutulia dogo.

Kenya:
Speed 80kph cargo
Speed 120kph passengers
Source of power Diesel (imported)
Axle weight 25T
Train length 1km
Classification chinese standards

Tanzania:
Speed cargo 120kph
Speed passengers 160kph
Source of power electricity produced from the grid
Axle weight 35T
Train length 2km
Classification american/European standards
 
Hata ingekuwa wewe kwa akili ya kawaida uchague kati ya hizi reli mbili ungechagua kujiunga na reli ipi?
Time will tell kaa kwa kutulia dogo.

Kenya:
Speed 80kph cargo
Speed 120kph passengers
Source of power Diesel (imported)
Axle weight 25T
Train length 1km
Classification chinese standards

Tanzania:
Speed cargo 120kph
Speed passengers 160kph
Source of power electricity produced from the grid
Axle weight 35T
Train length 2km
Classification american/European standards
sio mimi niliochagua hapa ๐Ÿ‘‡
IMG_20240507_001503.jpg

kwaio usinililie mm.
waliochagua wako kibiashara zaidi na wanajua changamoto zinazokuja na electric trains. most of the countries zinazotumia electric trains, wanazitumia from city A to city B (intercities) ambayo huwa 200 - 400kms. sasa nyinyi na akili zenu mulizorithi toka kwa Kinjekitile Ngwale mumekurupuka.
btw Kenya Sgr is Chinese Class 1 standard.
dogo, amini usiamini, after 5yrs your Sgr will be worn out na hii ndio situation tunayoenda kushuhudia ๐Ÿ‘‡
IMG_20240510_123011.jpg
 
Back
Top Bottom