Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Now if poor bridge, tell me the structural difference btn

Tazara's
c951cdf0521a3d12ce989ba19e862ea6-jpeg.1186497


n this

tkfwjev9l7bwpyzq58c0e5b60ff2b.jpg
Hio T ya daraja, Upande wa juu kwa Tazara ni steel, Kwa Kenya ni concrete, huko kwengine hakuna lolotela kufanana
 
Ethiopians Sgr nimeskia ni cheap kuliko ya Kenya, ila angalia uniqueness yake, wajomba mkubali mmepigwa, yaani Kwa cost hizo sie tungejenga around Tanzania nzima. Km meter gauge inabeba mzigo wa maana what about Sgr kupiga double stacks, View attachment 1187697View attachment 1187698View attachment 1187699View attachment 1187700View attachment 1187701View attachment 1187702View attachment 1187703
Hio ya Ethiopia ni cheaper kuliko hata hio ya Tanzania!!!!!


Lakini capacity yake ni 10m tonnes p.a na kuna picha moja hio iko na wachina si ya hio reli
 
Ile ya Kenya si ilikuwa ni wizi tuu. Tanzania ndio wanaojenga SGR, ile ya Kenya haina utofauti na MGR......hiyo ya diesel kwa gharama kubwa kuliko SGR ya Tanzania?? Wakenya bwana,.....wanajua kutengeneza pesa kweli kweli za kujaza matumbo yao.
 
But TAZARA is not MGR!
Ha! mpaka mnaanza kukosona sasa, get on the same page kwa DM!!!!

Tofauti ziko tele

Tazara iko na capacity ya 5m tonnes SGR Kenya iko na 22 million
Tazara track ni 1,067mm wakati SGR kenya ni 1,435 mm ambayo ndo standard guage
Tazara ilitumia type I concrete sleepers, SGR Kenya ilitumia type II


Zote zilijengwa na mchina llakini hizo reli mbili ziko far from bieng the same! na hata sijui kwanini mna obsess na hii issue, Kwani mnafikiria reli yenu haifanani na reli nyengine yeyote????

Kujenga reli yenu 0.6meters from the ground hata ile reli yetu ya 1901 ilijengwa hivyo

TZ SGR 3.jpg


Mkipanda nyasi huko kando kando hata sisi tulifanya hivyo kwa MGR

SGR Tz.png



Sahii kwa SGR yetu badala ya nyasi ni concrete

ejih3v78ch3bolct5cd727b611215.jpg
 
Ha! mpaka mnaanza kukosona sasa, get on the same page kwa DM!!!!

Tofauti ziko tele

Tazara iko na capacity ya 5m tonnes SGR Kenya iko na 22 million
Tazara track ni 1,067mm wakati SGR kenya ni 1,435 mm ambayo ndo standard guage
Tazara ilitumia type I concrete sleepers, SGR Kenya ilitumia type II


Zote zilijengwa na mchina llakini hizo reli mbili ziko far from bieng the same! na hata sijui kwanini mna obsess na hii issue, Kwani mnafikiria reli yenu haifanani na reli nyengine yeyote????

Kujenga reli yenu 0.6meters from the ground hata ile reli yetu ya 1901 ilijengwa hivyo

View attachment 1187721
20 mln tons but axle load of 25 mln n caravan less than 1 km n a single track. That's a big lie!

BTW U don't need a wall to build a high speed train! Instead of a wall build good drainage systems!

Learn from this ur structure is more prone to floods n earthquakes!

sgr.jpg
 
Ha! mpaka mnaanza kukosona sasa, get on the same page kwa DM!!!!
Tofauti ziko tele
Tazara iko na capacity ya 5m tonnes SGR Kenya iko na 22 million
Tazara track ni 1,067mm wakati SGR kenya ni 1,435 mm ambayo ndo standard guage
Tazara ilitumia type I concrete sleepers, SGR Kenya ilitumia type II
Zote zilijengwa na mchina llakini hizo reli mbili ziko far from bieng the same! na hata sijui kwanini mna obsess na hii issue, Kwani mnafikiria reli yenu haifanani na reli nyengine yeyote????
Kujenga reli yenu 0.6meters from the ground hata ile reli yetu ya 1901 ilijengwa hivyo
View attachment 1187721
Mkipanda nyasi huko kando kando hata sisi tulifanya hivyo kwa MGR
View attachment 1187723
Sahii kwa SGR yetu badala ya nyasi ni concrete
ejih3v78ch3bolct5cd727b611215.jpg

Unajitahidi sana kujitetea,lakini hii treni aiseee mmeliwa...
 
Ha! mpaka mnaanza kukosona sasa, get on the same page kwa DM!!!!

Tofauti ziko tele

Tazara iko na capacity ya 5m tonnes SGR Kenya iko na 22 million
Tazara track ni 1,067mm wakati SGR kenya ni 1,435 mm ambayo ndo standard guage
Tazara ilitumia type I concrete sleepers, SGR Kenya ilitumia type II


Zote zilijengwa na mchina llakini hizo reli mbili ziko far from bieng the same! na hata sijui kwanini mna obsess na hii issue, Kwani mnafikiria reli yenu haifanani na reli nyengine yeyote????

Kujenga reli yenu 0.6meters from the ground hata ile reli yetu ya 1901 ilijengwa hivyo

View attachment 1187721

Mkipanda nyasi huko kando kando hata sisi tulifanya hivyo kwa MGR

View attachment 1187723


Sahii kwa SGR yetu badala ya nyasi ni concrete

ejih3v78ch3bolct5cd727b611215.jpg
And this still happens! The other time wind blew a pillar for a bridge n killing 2 Kenyan workers!

sgr.jpg


2 Killed After SGR Track Collapses

FacebookTwitterWhatsAppFacebook MessengerEmail
  • Two workers were on Monday killed after a culvert they were working on collapsed along the Standard Gauge Railway (SGR) in Naivasha.
    Four other workers sustained injuries after they were buried when the trough collapsed in the Mai Mahiu section that was under construction.
    A worker who spoke to the Star stated that the section was compromised structurally following rains that had been experienced in the area over the past week.


    He stated that the culvert collapsed without warning as his colleagues got trapped under the debris.
    [caption caption="File image of SGR workers"]
    sgr_workers1.jpg
    [/caption]
    "They were six and we managed to retrieve four who were rushed to hospital but the other two had died before we could rescue them," he was quoted by the Star.


    He added that he had a loud bang followed by screams from the workers stating that the victims had no protective gear at the time the section caved in.
    "Had the contractor provided safety gear, the lives would have been saved. We challenge the government to direct them to provide the same to us," he explained.
    Area OCS Ezra Sambu confirmed the incident conveying that the injured workers would be transferred to Kijabe Mission Hospital for treatment.


    Mr Sambu stated that investigations were underway to establish if the collapse could have been prevented and establish if the deaths were as a result of negligence.
    Earlier in June, a Standard Gauge Railway (SGR) train heading to Mariakani was involved in an accident when it knocked down a cow killing it instantly.
    [caption caption="File image of the launch of the SGR train"]
    sgr_kenya_1.jpg
    [/caption]
    sgr_workers1.jpg
 
Me nadhani humo pembeni ni mbwembwe msingi ni kwenye kitako , area ambamo train inapita,
And this still happens! The other time wind blew a pillar for a bridge n killing 2 Kenyan workers!

sgr.jpg


2 Killed After SGR Track Collapses

FacebookTwitterWhatsAppFacebook MessengerEmail
  • Two workers were on Monday killed after a culvert they were working on collapsed along the Standard Gauge Railway (SGR) in Naivasha.
    Four other workers sustained injuries after they were buried when the trough collapsed in the Mai Mahiu section that was under construction.
    A worker who spoke to the Star stated that the section was compromised structurally following rains that had been experienced in the area over the past week.


    He stated that the culvert collapsed without warning as his colleagues got trapped under the debris.
    [caption caption="File image of SGR workers"]
    sgr_workers1.jpg
    [/caption]
    "They were six and we managed to retrieve four who were rushed to hospital but the other two had died before we could rescue them," he was quoted by the Star.


    He added that he had a loud bang followed by screams from the workers stating that the victims had no protective gear at the time the section caved in.
    "Had the contractor provided safety gear, the lives would have been saved. We challenge the government to direct them to provide the same to us," he explained.
    Area OCS Ezra Sambu confirmed the incident conveying that the injured workers would be transferred to Kijabe Mission Hospital for treatment.


    Mr Sambu stated that investigations were underway to establish if the collapse could have been prevented and establish if the deaths were as a result of negligence.
    Earlier in June, a Standard Gauge Railway (SGR) train heading to Mariakani was involved in an accident when it knocked down a cow killing it instantly.
    [caption caption="File image of the launch of the SGR train"]
    sgr_kenya_1.jpg
    [/caption]
    sgr_workers1.jpg
 
Latest mtambo wa chang'aa alias chinese first class bila safety standards!

SGR workers hold demo after colleague dies
falwydqhet5tib5d5ad87fbe288.jpg

China Communications Construction Company Business Manager Zhao Jian addresses SGR workers. [David Gichuru, Standard]
Standard Gauge Railway workers held a protest following the death of a colleague who fell from a 100-feet high bridge.


The employee, who was working at section 7 of the line at Ongata Rongai, was identified as 25-year-old Victor Baraza. He fell while trying to avoid an oncoming wagon. He was rushed to hospital where he succumbed to his injuries.

The workers accused their employer, China Communications Construction Company, of not implementing enough safety measures that could prevent such an accident.

The workers demanded a risk allowance due to the nature of their work. They said they work under tough conditions, including harassment. They also said they work more than eight hours in order to beat the October deadline.

SEE ALSO :Mombasa Port continues to record incredible cargo handling statistics
“We lack many things here in section 7 including safety gear such as belts, and boots and first aid kits,” said Brian Onyango, a supervisor.


“Life is more important than work. There will be no work until our demands are met,” said Onyango.

The Section 7 team is mainly involved in track laying and beam erections. The standard monthly payment for most workers is Sh25,000, but can be higher depending on individual skillset.

Onyango said the language barrier made it hard to communicate with their employers.

Company Spokesman Steven Zhao said they had compensated the family and dismissed claims they tried to cover up the incident.

SEE ALSO :Senate team orders closure of Kajiado School
He said the company was working to address the issues that had been consistently raised by the workers.

“For such a big project we can’t hide anything… we release all the information including the progress. We do compensation, we try to improve our safety regulations and ensure that this kind of incident does not happen again,” he said.


Mr Zhao said that new regulations were yet to be set on the risk allowance.

“After this kind of case we have internal discussions if we should provide risk allowance for the workers,” he said.

Section 7 has 560 workers and Zhao said about 300 had been involved in the go-slow. Zhao added that was the first major accident at the section.

 
20 mln tons but axle load of 25 mln n caravan less than 1 km n a single track. That's a big lie!

BTW U don't need a wall to build a high speed train! Instead of a wall build good drainage systems!

Learn from this ur structure is more prone to floods n earthquakes!

sgr.jpg
Daaaah asee kweli mchina amewapapasa hawa jombaaa kissawassawa.
 
  1. Home
  2. Business
SGR workers hold demo after colleague dies
falwydqhet5tib5d5ad87fbe288.jpg

China Communications Construction Company Business Manager Zhao Jian addresses SGR workers. [David Gichuru, Standard]
Standard Gauge Railway workers held a protest following the death of a colleague who fell from a 100-feet high bridge.


The employee, who was working at section 7 of the line at Ongata Rongai, was identified as 25-year-old Victor Baraza. He fell while trying to avoid an oncoming wagon. He was rushed to hospital where he succumbed to his injuries.

The workers accused their employer, China Communications Construction Company, of not implementing enough safety measures that could prevent such an accident.

The workers demanded a risk allowance due to the nature of their work. They said they work under tough conditions, including harassment. They also said they work more than eight hours in order to beat the October deadline.

SEE ALSO :Mombasa Port continues to record incredible cargo handling statistics
“We lack many things here in section 7 including safety gear such as belts, and boots and first aid kits,” said Brian Onyango, a supervisor.


“Life is more important than work. There will be no work until our demands are met,” said Onyango.

The Section 7 team is mainly involved in track laying and beam erections. The standard monthly payment for most workers is Sh25,000, but can be higher depending on individual skillset.

Onyango said the language barrier made it hard to communicate with their employers.

Company Spokesman Steven Zhao said they had compensated the family and dismissed claims they tried to cover up the incident.

SEE ALSO :Senate team orders closure of Kajiado School
He said the company was working to address the issues that had been consistently raised by the workers.

“For such a big project we can’t hide anything… we release all the information including the progress. We do compensation, we try to improve our safety regulations and ensure that this kind of incident does not happen again,” he said.


Mr Zhao said that new regulations were yet to be set on the risk allowance.

“After this kind of case we have internal discussions if we should provide risk allowance for the workers,” he said.

Section 7 has 560 workers and Zhao said about 300 had been involved in the go-slow. Zhao added that was the first major accident at the section.

Daaaah unyanyaswaji ktk nchi yako mama.!!!!!!!
Eti wanafanya kaz kwa kupitiliza na haarasement juuuu!!!!!
Huwez kuta hii unyama ikifanyika Tanzania pole yao.
 
20 mln tons but axle load of 25 mln n caravan less than 1 km n a single track. That's a big lie!

BTW U don't need a wall to build a high speed train! Instead of a wall build good drainage systems!

Learn from this ur structure is more prone to floods n earthquakes!

sgr.jpg
And this still happens! The other time wind blew a pillar for a bridge n killing 2 Kenyan workers!

sgr.jpg

Kila siku hii picha lazima uiregeshe hapa! Hii picha ni ya 2016 wakati mvua ilinyesha kama SGR bado inajengwa, You can see from the pic, kwenye hio embankment/tuta upande wa kushoto, hio helibone concrete structure ilikua haijawekwa, ilikua ni mchanga tu, tena bado mtaro wa drainaje ulikua haujawekwa.... Hata kama wewe ulikua unajenga nyumba yako na mvua inyeshe kabla haujamaliza kuweka msingi, huo msingi utasimama wima??

SGR Msa_Nairobi ilianza kufanya kazi June 2017, mvua nyingi kubwa zaidi zimenyesha, niletee picha za huo wakati..
 
Kila siku hii picha lazima uiregeshe hapa! Hii picha ni ya 2016 wakati mvua ilinyesha kama SGR bado inajengwa, You can see from the pic, kwenye hio embankment/tuta upande wa kushoto, hio helibone concrete structure ilikua haijawekwa, ilikua ni mchanga tu, tena bado mtaro wa drainaje ulikua haujawekwa.... Hata kama wewe ulikua unajenga nyumba yako na mvua inyeshe kabla haujamaliza kuweka msingi, huo msingi utasimama wima??

SGR Msa_Nairobi ilianza kufanya kazi June 2017, mvua nyingi kubwa zaidi zimenyesha, niletee picha za huo wakati..
Na hii 2019?

Latest mtambo wa chang'aa alias chinese first class bila safety standards!

SGR workers hold demo after colleague dies
falwydqhet5tib5d5ad87fbe288.jpg

China Communications Construction Company Business Manager Zhao Jian addresses SGR workers. [David Gichuru, Standard]
Standard Gauge Railway workers held a protest following the death of a colleague who fell from a 100-feet high bridge.


The employee, who was working at section 7 of the line at Ongata Rongai, was identified as 25-year-old Victor Baraza. He fell while trying to avoid an oncoming wagon. He was rushed to hospital where he succumbed to his injuries.

The workers accused their employer, China Communications Construction Company, of not implementing enough safety measures that could prevent such an accident.

The workers demanded a risk allowance due to the nature of their work. They said they work under tough conditions, including harassment. They also said they work more than eight hours in order to beat the October deadline.

SEE ALSO :Mombasa Port continues to record incredible cargo handling statistics
“We lack many things here in section 7 including safety gear such as belts, and boots and first aid kits,” said Brian Onyango, a supervisor.


“Life is more important than work. There will be no work until our demands are met,” said Onyango.

The Section 7 team is mainly involved in track laying and beam erections. The standard monthly payment for most workers is Sh25,000, but can be higher depending on individual skillset.

Onyango said the language barrier made it hard to communicate with their employers.

Company Spokesman Steven Zhao said they had compensated the family and dismissed claims they tried to cover up the incident.

SEE ALSO :Senate team orders closure of Kajiado School
He said the company was working to address the issues that had been consistently raised by the workers.

“For such a big project we can’t hide anything… we release all the information including the progress. We do compensation, we try to improve our safety regulations and ensure that this kind of incident does not happen again,” he said.


Mr Zhao said that new regulations were yet to be set on the risk allowance.

“After this kind of case we have internal discussions if we should provide risk allowance for the workers,” he said.

Section 7 has 560 workers and Zhao said about 300 had been involved in the go-slow. Zhao added that was the first major accident at the section.

 
Na hii 2019?

Latest mtambo wa chang'aa alias chinese first class bila safety standards!

SGR workers hold demo after colleague dies
falwydqhet5tib5d5ad87fbe288.jpg

China Communications Construction Company Business Manager Zhao Jian addresses SGR workers. [David Gichuru, Standard]
Standard Gauge Railway workers held a protest following the death of a colleague who fell from a 100-feet high bridge.


The employee, who was working at section 7 of the line at Ongata Rongai, was identified as 25-year-old Victor Baraza. He fell while trying to avoid an oncoming wagon. He was rushed to hospital where he succumbed to his injuries.

The workers accused their employer, China Communications Construction Company, of not implementing enough safety measures that could prevent such an accident.

The workers demanded a risk allowance due to the nature of their work. They said they work under tough conditions, including harassment. They also said they work more than eight hours in order to beat the October deadline.

SEE ALSO :Mombasa Port continues to record incredible cargo handling statistics
“We lack many things here in section 7 including safety gear such as belts, and boots and first aid kits,” said Brian Onyango, a supervisor.


“Life is more important than work. There will be no work until our demands are met,” said Onyango.

The Section 7 team is mainly involved in track laying and beam erections. The standard monthly payment for most workers is Sh25,000, but can be higher depending on individual skillset.

Onyango said the language barrier made it hard to communicate with their employers.

Company Spokesman Steven Zhao said they had compensated the family and dismissed claims they tried to cover up the incident.

SEE ALSO :Senate team orders closure of Kajiado School
He said the company was working to address the issues that had been consistently raised by the workers.

“For such a big project we can’t hide anything… we release all the information including the progress. We do compensation, we try to improve our safety regulations and ensure that this kind of incident does not happen again,” he said.


Mr Zhao said that new regulations were yet to be set on the risk allowance.

“After this kind of case we have internal discussions if we should provide risk allowance for the workers,” he said.

Section 7 has 560 workers and Zhao said about 300 had been involved in the go-slow. Zhao added that was the first major accident at the section.

Hapo kwa hio picha unaona wote wamevaa helmet, unaona wote wako na reflectors..na wale weenye hupanda huko juu hua wanavaa belt/vest ambayo iko na hook unaweza ku hook mahali ili ukiteleza usianguke..


Ukiangalia hizo picha utaona wako na hizo hooks
KiHePNJ.jpg


Hii ni wakati Nairobi SGR station ilikua inajengwa, Ukiangalia vizuri utaona hizo hook-vest kwa wale wanaotarajiwa kupanda huko juu,

Kenya-Railways-Standard-Gauge-Railway-Sgr-Nairobi-Mombasa-Testride-Mombasa-Nairobi-Stndard-Gau...jpg



kHibD0V.jpg



Lakini kuna sehemu nyengine haswa juu ya madaraja wakati wanaeka hio T-Beam, Hapo unasonga songa kila wakati mara nyingi inabidi usongee songee kulingana na vile t-beam inaegeshwa kwahivyo hauwezi uka hook kamba manake dakika chache unabidi usongee mahali kwingine, hapo mtu mmoja akizubaa ni rahisi kupata ajali ..

workers-lower-a-preformed-bridge-section-onto-raised-supports-during-picture-id516342450.jpeg

QC856Ey.jpg

VyfJeov.jpg


Kwa mfano hapa kwa hili daraja hawajamaliza kujenga sehemu ya mtu kupita/kutembea juu ya hilo daraja, kama anae endesha hili dude hajakuona itabidi uruke ama ukanyagwe
YOM9kC7.jpg



Wakimaliza kujenga daraja ndo wanaeka hio nafasi ya kutembea kwa miguu hata kama treni inapita
kihepnj-jpg.1187747
 
Hapo kwa hio picha unaona wote wamevaa helmet, unaona wote wako na reflectors..na wale weenye hupanda huko juu hua wanavaa belt/vest ambayo iko na hook unaweza ku hook mahali ili ukiteleza usianguke..


Ukiangalia hizo picha utaona wako na hizo hooks
View attachment 1187747

Hii ni wakati Nairobi SGR station ilikua inajengwa, Ukiangalia vizuri utaona hizo hook-vest kwa wale wanaotarajiwa kupanda huko juu,

View attachment 1187748


kHibD0V.jpg



Lakini kuna sehemu nyengine haswa juu ya madaraja wakati wanaeka hio T-Beam, Hapo unasonga songa kila wakati mara nyingi inabidi usongee songee kulingana na vile t-beam inaegeshwa kwahivyo hauwezi uka hook kamba manake dakika chache unabidi usongee mahali kwingine, hapo mtu mmoja akizubaa ni rahisi kupata ajali ..

View attachment 1187737
QC856Ey.jpg

VyfJeov.jpg


Kwa mfano hapa kwa hili daraja hawajamaliza kujenga sehemu ya mtu kupita/kutembea juu ya hilo daraja, kama anae endesha hili dude hajakuona itabidi uruke ama ukanyagwe
View attachment 1187739


Wakimaliza kujenga daraja ndo wanaeka hio nafasi ya kutembea kwa miguu hata kama treni inapita
kihepnj-jpg.1187747
Peleka upumbavu chinese safety standards r low! This is not a first time a Kenyan dies! Mbona asife Mchina?
 
Ha! mpaka mnaanza kukosona sasa, get on the same page kwa DM!!!!

Tofauti ziko tele

Tazara iko na capacity ya 5m tonnes SGR Kenya iko na 22 million
Tazara track ni 1,067mm wakati SGR kenya ni 1,435 mm ambayo ndo standard guage
Tazara ilitumia type I concrete sleepers, SGR Kenya ilitumia type II


Zote zilijengwa na mchina llakini hizo reli mbili ziko far from bieng the same! na hata sijui kwanini mna obsess na hii issue, Kwani mnafikiria reli yenu haifanani na reli nyengine yeyote????

Kujenga reli yenu 0.6meters from the ground hata ile reli yetu ya 1901 ilijengwa hivyo

View attachment 1187721

Mkipanda nyasi huko kando kando hata sisi tulifanya hivyo kwa MGR

View attachment 1187723


Sahii kwa SGR yetu badala ya nyasi ni concrete

ejih3v78ch3bolct5cd727b611215.jpg
Ata Chinese class 2 ya Ethiopia inakaa afadhali
 
Hapo kwa hio picha unaona wote wamevaa helmet, unaona wote wako na reflectors..na wale weenye hupanda huko juu hua wanavaa belt/vest ambayo iko na hook unaweza ku hook mahali ili ukiteleza usianguke..


Ukiangalia hizo picha utaona wako na hizo hooks
View attachment 1187747

Hii ni wakati Nairobi SGR station ilikua inajengwa, Ukiangalia vizuri utaona hizo hook-vest kwa wale wanaotarajiwa kupanda huko juu,

View attachment 1187748


kHibD0V.jpg



Lakini kuna sehemu nyengine haswa juu ya madaraja wakati wanaeka hio T-Beam, Hapo unasonga songa kila wakati mara nyingi inabidi usongee songee kulingana na vile t-beam inaegeshwa kwahivyo hauwezi uka hook kamba manake dakika chache unabidi usongee mahali kwingine, hapo mtu mmoja akizubaa ni rahisi kupata ajali ..

View attachment 1187737
QC856Ey.jpg

VyfJeov.jpg


Kwa mfano hapa kwa hili daraja hawajamaliza kujenga sehemu ya mtu kupita/kutembea juu ya hilo daraja, kama anae endesha hili dude hajakuona itabidi uruke ama ukanyagwe
View attachment 1187739


Wakimaliza kujenga daraja ndo wanaeka hio nafasi ya kutembea kwa miguu hata kama treni inapita
kihepnj-jpg.1187747
hizi bongo lala ni ngombe sana haziwezi kuelewa
 
Back
Top Bottom