Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,033
- 79,015
- Thread starter
- #3,821
kutoboa miamba haihusiki na phase I Dar-Moro miamba ile ipo Kilosa na Kilosa ni kati ya Moro-Dodoma yaani phase II Morogoro-Makutupora.Earth work imekamilika bado kutoboa miamba na kumalizia stations na madaraja ,Kwahiyo wacha tarehe ifike ndio uanze blabbering.
Watu waliibeza china hvyo hvyo haiwez inuka na ikafanikiwa kuwa amongst industrialized nation with in 5 years.
We wacha date ifike ndio uongee