NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 11,700
- 11,798
Tunaongelea SGR wewe unatuletea Tazara. Hivi kichwa chako kiko sawa?
Tunaongelea SGR wewe unatuletea Tazara. Hivi kichwa chako kiko sawa?
Siyo kosa lake, ukiangalia SGR yenu na TAZARA tofauti ni ndogo sana, train zinafanana, zote zinatumia diesel, zote zimejengwa na mchina e.t.c. ata mimi huwa zina nichanganya.Tunaongelea SGR wewe unatuletea Tazara. Hivi kichwa chako kiko sawa?
Sgr ndio inajengwa route ya Kwanzaa itaishia kirosa November this year ndio itafunguliwa route za mpk kaskazin zitachukua 32 months bcuz zinasubiria stiblers gorge ikamilike ili kuwe na umeme wa kutosha wa kuendeshea standard gauge mpk kaskazin mwa tzTunaongelea SGR wewe unatuletea Tazara. Hivi kichwa chako kiko sawa?
Mkuu matusi standard gauge ya kenya sawa na metre gauge ya Tazara si bora ungeweka ht ya TRL inaoelekea kigoma kwa kumheshim mwenzakoSiyo kosa lake, ukiangalia SGR yenu na TAZARA tofauti ni ndogo sana, train zinafanana, zote zinatumia diesel, zote zimejengwa na mchina e.t.c. ata mimi huwa zina nichanganya.
Msomali hafanyajeee?!Na mbona Mganda, Mmalawi, Muethiopia, Msudan, Mrwanda na Msomalia hawachukii Mkenya yet Mtanzania anamchukia Mkenya?
Metre gauge inakaribiana zaidi na Sgr kuliko narrow gauge. Ukizingatia TAZARA pia imejengwa na mchina mpaka tunnels zinafanana achilia mbali trains.Mkuu matusi standard gauge ya kenya sawa na metre gauge ya Tazara si bora ungeweka ht ya TRL inaoelekea kigoma kwa kumheshim mwenzako
Metre gauge inakaribiana zaidi na Sgr kuliko narrow gauge. Ukizingatia TAZARA pia imejengwa na mchina mpaka tunnels zinafanana achilia mbali trains.
Ikikamilika haitaleta hasara km sgr ya kwenuTunaongelea SGR wewe unatuletea Tazara. Hivi kichwa chako kiko sawa?
Tazara si MGR ni Cape gauge RailwayMkuu matusi standard gauge ya kenya sawa na metre gauge ya Tazara si bora ungeweka ht ya TRL inaoelekea kigoma kwa kumheshim mwenzako
Ila yenu ni mbovu kwa zote. 😂 😂 😂Siyo kosa lake, ukiangalia SGR yenu na TAZARA tofauti ni ndogo sana, train zinafanana, zote zinatumia diesel, zote zimejengwa na mchina e.t.c. ata mimi huwa zina nichanganya.
Sgr ndio inajengwa route ya Kwanzaa itaishia kirosa November this year ndio itafunguliwa route za mpk kaskazin zitachukua 32 months bcuz zinasubiria stiblers gorge ikamilike ili kuwe na umeme wa kutosha wa kuendeshea standard gauge mpk kaskazin mwa tz
sikuhizi tanzania imebadilisha jina na kuitwa yap merkez?Ila yenu ni mbovu kwa zote.
Nachukia watu wenye akili ndogo - kwa hivo mkinunua gari za Toyota inamaanisha mmebadili jina mkajiita Toyota?sikuhizi tanzania imebadilisha jina na kuitwa yap merkez?
kweli chokoraa ni chokoraa tu,kwa hiyo yep merkez wamekuwa ni wauzaji wa vichwa vya treni...?..hebu nijuze kidogo nipate somo jipya kutoka kwakoNachukia watu wenye akili ndogo - kwa hivo mkinunua gari za Toyota inamaanisha mmebadili jina mkajiita Toyota?
You're too stupid for my engagement. Move along.kweli chokoraa ni chokoraa tu,kwa hiyo yep merkez wamekuwa ni wauzaji wa vichwa vya treni...?..hebu nijuze kidogo nipate somo jipya kutoka kwako
toyota vs yep merkes....!!!! mfano wako si hai ni mfu,,,,hebu nitajie kiwanda cha kitengenezea vichwa vya treni kutoka yep merkez vipo nchi gani...? nshitaji unijuze mkuu naamini unaakili za kutoshaYou're too stupid for my engagement. Move along.
Ila yenu ni mbovu kwa zote.
Sina haja na huu uharo wako ambao hauna mbele wala nyuma.
Nachukia watu wenye akili ndogo - kwa hivo mkinunua gari za Toyota inamaanisha mmebadili jina mkajiita Toyota?