Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Tunaongelea SGR wewe unatuletea Tazara. Hivi kichwa chako kiko sawa?
Sgr ndio inajengwa route ya Kwanzaa itaishia kirosa November this year ndio itafunguliwa route za mpk kaskazin zitachukua 32 months bcuz zinasubiria stiblers gorge ikamilike ili kuwe na umeme wa kutosha wa kuendeshea standard gauge mpk kaskazin mwa tz
 
Siyo kosa lake, ukiangalia SGR yenu na TAZARA tofauti ni ndogo sana, train zinafanana, zote zinatumia diesel, zote zimejengwa na mchina e.t.c. ata mimi huwa zina nichanganya.
Mkuu matusi standard gauge ya kenya sawa na metre gauge ya Tazara si bora ungeweka ht ya TRL inaoelekea kigoma kwa kumheshim mwenzako
 
Mkuu matusi standard gauge ya kenya sawa na metre gauge ya Tazara si bora ungeweka ht ya TRL inaoelekea kigoma kwa kumheshim mwenzako
Metre gauge inakaribiana zaidi na Sgr kuliko narrow gauge. Ukizingatia TAZARA pia imejengwa na mchina mpaka tunnels zinafanana achilia mbali trains.
 
Tunaongelea SGR wewe unatuletea Tazara. Hivi kichwa chako kiko sawa?
Ikikamilika haitaleta hasara km sgr ya kwenu
sgr.jpeg
0e2e835e9d6b3b8a5084a0f9e35aa6c4.jpeg
 
Sgr ndio inajengwa route ya Kwanzaa itaishia kirosa November this year ndio itafunguliwa route za mpk kaskazin zitachukua 32 months bcuz zinasubiria stiblers gorge ikamilike ili kuwe na umeme wa kutosha wa kuendeshea standard gauge mpk kaskazin mwa tz

Sina haja na huu uharo wako ambao hauna mbele wala nyuma.
 
Nachukia watu wenye akili ndogo - kwa hivo mkinunua gari za Toyota inamaanisha mmebadili jina mkajiita Toyota?
kweli chokoraa ni chokoraa tu,kwa hiyo yep merkez wamekuwa ni wauzaji wa vichwa vya treni...?..hebu nijuze kidogo nipate somo jipya kutoka kwako
 
You're too stupid for my engagement. Move along.
toyota vs yep merkes....!!!! mfano wako si hai ni mfu,,,,hebu nitajie kiwanda cha kitengenezea vichwa vya treni kutoka yep merkez vipo nchi gani...? nshitaji unijuze mkuu naamini unaakili za kutosha

maana TZ wamezingua aisee yaani wameshindwa kupiga chata ya brand yao wakaona bora waliache chata ta kampuni ya yep merkez

kumbe hivi vyote ni mali ya Tz vimenunuliwa toka yep merkez company
reli-yaanza-kuungwa-kwa-umeme-usikose-kutazama-reli-na-matukio-jumatano-ya-aprili-24-kupitia-...jpeg
images%20(4).jpeg
 
mkandarasi si mjinga a test reli kw kichwa ambacho hakiendani na reli yenyewe...yani hapo kachukua sample inayoendana na uwezo wa reli yenyewe...bwahahaaa....yani hapo mmeshapigwa tayari...rangi tu...bwahaaaa
 
Back
Top Bottom