Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Hapo unaongelea opportunity cost, kwa case ya Bagamoyo that cost is almost zero. Hao wawekezaji wameona fursa sisi tunawapa uwanja wapambane, malengo yao ni zaidi ya port watajenga mpaka industrial park na kuleta wawekezaji kwa kutumia contacts zao. Hiko unacho kisema wewe kwa case ya Bagamoyo hakina mashiko kwa sababu ata wachina wasinge kuja na huo mradi, huo mpango wakujenga port Bagamoyo haupo ata kwa miaka 50 ijayo so kuwa achia wafanye yao huku tukipata kodi na kutengeneza ajira ni big win kwetu, ice on the cake ownership ita transfer to GoT. Nyinyi hiyo road for your own reasons mnahisi mnaihitaji sasa hivi kwa hiyo kupiga mahesabu hayo ni sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bagamoyo port imekua ndoto ya watanzania tokea kitambo Sana! Hii haikua idea ya wachina! mlikua mmejaribu kila kitu na mkakosa funding, hapo ndo wachina walikuja wakawapatia offer ambayo hamtakataa, kwamba watawajengea kila kitu bure.

Naeza nikakupatia mfano mwengine, Total ndo watachagua ni Kampuni ghani itajenga bomba la mafuta juu ni hao ndo watashughulika kuchanga capital funding, usishangae ukiona Kampuni ya ki faransa au Kampuni ilio na agreement na ufaransa ikihusika. Unaeza ukapinga Kwa kusema kwaamba but hio ni private investment, na mi ntakwambia kwamba Kampuni itakayojengwa italipwa na pesa za mafuta ambayo ni Mali ya wananchi wa UG.
 
Bagamoyo port imekua ndoto ya watanzania tokea kitambo Sana! Hii haikua idea ya wachina! mlikua mmejaribu kila kitu na mkakosa funding, hapo ndo wachina walikuja wakawapatia offer ambayo hamtakataa, kwamba watawajengea kila kitu bure.

Naeza nikakupatia mfano mwengine, Total ndo watachagua ni Kampuni ghani itajenga bomba la mafuta juu ni hao ndo watashughulika kuchanga capital funding, usishangae ukiona Kampuni ya ki faransa au Kampuni ilio na agreement na ufaransa ikihusika. Unaeza ukapinga Kwa kusema kwaamba but hio ni private investment, na mi ntakwambia kwamba Kampuni itakayojengwa italipwa na pesa za mafuta ambayo ni Mali ya wananchi wa UG.
Tz haihitaji Bagamoyo port kwa sasa hivi ndiyo maana kwenye mkataba wachina waliweka kipengele cha kutofanyika expansion ya port yoyote tz baada ya wao kuwekeza. Magu ali stop hiyo kitu na ana expand ports zote sasa hivi. Kwa projections bado hizi zilizopo zinaweza kutusogeza zaidi ya miaka 30. Eventually tutahitaji new port ila bado sana, huu mradi ulikua na msukumo zaidi kwenye awamu iliyopita kwa sababu ambazo sitozitaja.

Ishu ya mafuta ambayo ni natural resource, total alisha wekeza pesa nyingi sana mpaka kufika hapa, na ata akikopa atakopa kupitia andiko la mradi wa kibiashara na hakuna kubahatisha kama SGR yenu ambayo inasikilizia mizigo ya majirani, huku M7 haeleweki mara yupo Dar! Kagame ndiyo amewakana kabisa. Huku mnaanza kulipa deni mara moja baada grace period kuisha na pesa inatoka kwenye hadhina yenu, faida iwepo au isiwepo. Anyways, wewe amini unacho taka kuamini, maana naona unapoelekea utaleta ata mifano ya pyramids za Egypt.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Tz haihitaji Bagamoyo port kwa sasa hivi ndiyo maana kwenye mkataba wachina waliweka kipengele cha kutofanyika expansion ya port yoyote tz baada ya wao kuwekeza. Magu ali stop hiyo kitu na ana expand ports zote sasa hivi. Kwa projections bado hizi zilizopo zinaweza kutusogeza zaidi ya miaka 30. Eventually tutahitaji new port ila bado sana, huu mradi ulikua na msukumo zaidi kwenye awamu iliyopita kwa sababu ambazo sitozitaja.

Ishu ya mafuta ambayo ni natural resource, total alisha wekeza pesa nyingi sana mpaka kufika hapa, na ata akikopa atakopa kupitia andiko la mradi wa kibiashara na hakuna kubahatisha kama SGR yenu ambayo inasikilizia mizigo ya majirani, huku M7 haeleweki mara yupo Dar! Kagame ndiyo amewakana kabisa. Huku mnaanza kulipa deni mara moja baada grace period kuisha na pesa inatoka kwenye hadhina yenu, faida iwepo au isiwepo. Anyways, wewe amini unacho taka kuamini, maana naona unapoelekea utaleta ata mifano ya pyramids za Egypt.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Nitasave hii comment yako miaka mitatu kutoka sasa bagamoyo ikianza kujengwa nije nikuulize ulitungaje hii hadithi....
 
Refurbishment of TAZARA railway line to receive US $1.2bn boost
By
patrick mulyungi
-
Apr 18, 2019

Standard Gauge railway

The government of china has announced plans to offer approximately US $1.2bn to theTanzania Zambia Railway Authority (TAZARA)for the rehabilitation of the railway line shared by the two states (Tanzania and Zambia).

According to Chinese ambassador to Tanzania, Wang Ke, her country is ready to explore ways and means of upgrading and overhauling the TAZARA line once a consensus is reached.

The ambassador noted that the embassy had initiated talks with the government over the fund stressing that her country was ready, willing and able to support the refurbishment, and reminded that joint efforts by China, Tanzania and Zambia in overcoming numerous difficulties and obstacles was highly needed to reach the target.


In addition to that, the TAZARA Deputy Managing Director, Dr. Bertram Kiswaga said that additional efforts would go a long way in ensuring the performance of the railway was improved. The meeting recommended major renovations to the rusty narrow gauge railway (wrong Cape gauge railway illiterate Kunyan Reporter always amazes) line and approve of plans to link Tazara to Tanzania’s multibillion-dollar Bagamoyo port, as well as to Malawi, DR Congo, Rwanda and Burundi.


The birth of TAZARA
TAZARA was constructed as a turnkey project between 1970 and 1975 through the interest-free loan of US $500m from the People`s Republic of China, with commercial operations starting in July 1976, covering 1,860 kilometers from Dar es Salaam to New Kapiri Mposhi North Eat of Zambia.



The Chinese government provided about US $1bn in financial support, 50,000 engineering and technical personnel and one million tonnes of material and equipment’s despite facing financial difficulties at that time.

At its completion, the TAZARA railway was the longest railway line in the sub-Saharan Africa. It was also the largest single foreign-aid project undertaken by China at the time.

 
Back
Top Bottom