Dirham
JF-Expert Member
- Dec 26, 2016
- 490
- 543
Hata kama hatujui chanzo cha uhai, hakutupi mwanya wa kuashumu kwamba Mungu ndiye aliyeumba.
Ukisema Mungu yupo kwa sababu viumbe vina mifumo tata ambayo inaashiria kwamba kuna Intelligent designer aliyeviumba, basi uwe tayari pia kusema kwamba kuna Super Intelligent designer aliyem-design huyo Intelligent designer.
Huwa nakukubali unavyojenga hoja kutetea point yako mkuu...ila naomba nikuulize swali hapo ulipo sema kuna "super intelligent designer aliem-design huyo intelligent designer" sasa hapo huoni kama kuna zaidi ya huyo Super intelligent designer aliyemuumba huyo intelligent designer????
Sent from my SM-G360H using JamiiForums mobile app