Corona Virus: Pray for Italy and Iran

Corona Virus: Pray for Italy and Iran

cutelove

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2017
Posts
3,586
Reaction score
8,386
Nchi ambayo imepata pigo kwa ugonjwa wa Corona basi Italia ni nchi ya kuhurumia

Ungawa nchi mbalimbali duniani wanajitahidi kupambana na huo ugonjwa ila kwa Italia Mungu isaidie ,watu wanakufa kama kuku

Italy ni nchi iliyoendelea kiuchumi lakini bwana,asikwambie mtu,pamoja siku za mwanzoni kukimbiza sanamu ya Bikira Maria kuzunguka nchi ya Italia lakini imeshindikana,kila dakika mtu anakufa kwa Covid 19

Kuna nchi inaitwa Iran ni masikini jeuri ambaye hataki kuwa wazi katika visa vya Corona lakini jumuiya ya Kimataifa isipoingilia kati Iran itateketea vibaya mno

Matamshi ya Trump kwa China yazingatiwe kuwa ugonjwa ulipokuwa unaanza China ilikuwa inaficha ficha badala ya kuweka wazi ili dunia ijiandae kupambana nao sasa hasara,vifo China alaumiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe itakuwa una takwimu za wiki iliyopita... Kaangalie takwimu za jana uone nani kachukua nafasi ya iran...hata huko US kwa sasa hakukaliki.
 
Wewe itakuwa una takwimu za wiki iliyopita... Kaangalie takwimu za jana uone nani kachukua nafasi ya iran...hata huko US kwa sasa hakukaliki.
Kwa mujibu wa Aljezira wanasema serikali ya Iran haitaki kuwa wazi kwa vifo vinavyotokea Iran,means wanaficha vifo na serikali inadhibiti taarifa za vifo,yawezekana Iran ndo ugonjwa umeua zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mujibu wa Aljezira wanasema serikali ya Iran haitaki kuwa wazi kwa vifo vinavyotokea Iran,means wanaficha vifo na serikali inadhibiti taarifa za vifo,yawezekana Iran ndo ugonjwa umeua zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiende kwa proba nenda kiuhalisia uliopo.... Mwanzoni Iran na China wanachezea namba za juu ilikuwa uhalisia ila baada ya nchi nyingine kuwa na figures kubwa zaidi eti wanadanganya... Usishangae takwimu za Italy zikishuka tukaambiwa nao wanadanganya... Siwatetei Iran na wala mimi si muislamu lakini cheki takwimu hayo maudaku achana nayo... Hizi hapa za asubuhi hii..
Screenshot_2020-03-22-08-22-47.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vp ile hali ngum iliyokuwa inakukabili imeisha(umeipatia ufumbuzi). Acha kufuatilia habari za vifo utachanganyikiwa tena
 
Usiende kwa proba nenda kiuhalisia uliopo.... Mwanzoni Iran na China wanachezea namba za juu ilikuwa uhalisia ila baada ya nchi nyingine kuwa na figures kubwa zaidi eti wanadanganya... Usishangae takwimu za Italy zikishuka tukaambiwa nao wanadanganya... Siwatetei Iran na wala mimi si muislamu lakini cheki takwimu hayo maudaku achana nayo... Hizi hapa za asubuhi hii..View attachment 1395606

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna popote hutolewa taarifa sahihi za vifo.
Hata china hakuna anaejua wale waathirika 20 elfu walikoenda.. Huenda waliuliwa...

So piga kimya.
 
Mbona siwaoni North Korea wao hawana huu msala?
Usiende kwa proba nenda kiuhalisia uliopo.... Mwanzoni Iran na China wanachezea namba za juu ilikuwa uhalisia ila baada ya nchi nyingine kuwa na figures kubwa zaidi eti wanadanganya... Usishangae takwimu za Italy zikishuka tukaambiwa nao wanadanganya... Siwatetei Iran na wala mimi si muislamu lakini cheki takwimu hayo maudaku achana nayo... Hizi hapa za asubuhi hii..View attachment 1395606

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reo = Leo?
Ungekua unajaza fomu ya kugombea ujumbe wa kijiji wangekukata kwa kigezo cha kutokujua kusoma na kuandika😀😀
Hiyo REO mimi nilijua kataja mji huko Italy nikaisoma(RIO) kumbe alikuwa akimaanisha LEO!! Elimu yetu majanga mzee wabongo wengi hatujui kuandika hasa linapokuja suala la R, L, H, A
 
Hivi huku kwetu hatuna wazee...maanake kimya mnooo
 
Back
Top Bottom