cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,586
- 8,386
Nchi ambayo imepata pigo kwa ugonjwa wa Corona basi Italia ni nchi ya kuhurumia
Ungawa nchi mbalimbali duniani wanajitahidi kupambana na huo ugonjwa ila kwa Italia Mungu isaidie ,watu wanakufa kama kuku
Italy ni nchi iliyoendelea kiuchumi lakini bwana,asikwambie mtu,pamoja siku za mwanzoni kukimbiza sanamu ya Bikira Maria kuzunguka nchi ya Italia lakini imeshindikana,kila dakika mtu anakufa kwa Covid 19
Kuna nchi inaitwa Iran ni masikini jeuri ambaye hataki kuwa wazi katika visa vya Corona lakini jumuiya ya Kimataifa isipoingilia kati Iran itateketea vibaya mno
Matamshi ya Trump kwa China yazingatiwe kuwa ugonjwa ulipokuwa unaanza China ilikuwa inaficha ficha badala ya kuweka wazi ili dunia ijiandae kupambana nao sasa hasara,vifo China alaumiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungawa nchi mbalimbali duniani wanajitahidi kupambana na huo ugonjwa ila kwa Italia Mungu isaidie ,watu wanakufa kama kuku
Italy ni nchi iliyoendelea kiuchumi lakini bwana,asikwambie mtu,pamoja siku za mwanzoni kukimbiza sanamu ya Bikira Maria kuzunguka nchi ya Italia lakini imeshindikana,kila dakika mtu anakufa kwa Covid 19
Kuna nchi inaitwa Iran ni masikini jeuri ambaye hataki kuwa wazi katika visa vya Corona lakini jumuiya ya Kimataifa isipoingilia kati Iran itateketea vibaya mno
Matamshi ya Trump kwa China yazingatiwe kuwa ugonjwa ulipokuwa unaanza China ilikuwa inaficha ficha badala ya kuweka wazi ili dunia ijiandae kupambana nao sasa hasara,vifo China alaumiwe
Sent using Jamii Forums mobile app