Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
Kwa jinsi SCOAN wa Tanzania (Martha) walivyo wakiritimba, tutegemee hili very soon!
watu wanalipa pesa, ni watu wazima, kwa nini kuwanyanyasa?
What is wrong with us Tanzanians?
Hapo hapo tunawalaumu wanasiasa?
Haya sasa. Kazi kwenu msha.buliane mkimaliza mkumbuke Yesu alijinyenyekeza hata mauti ya msalaba. Na watawatambua kwa matendo yenu.
Nikuulize: hivi TB Joshua Mungu ni jirani yake ?
Siku za hizi karibuni tumeshuhudia watanzania wengi wakijitahidi kwenda kwa Mchungaji T.B. Joshua, wa SCOAN Nigeria kwa maombezi. Hiki kinachotokea kwa sasa ni kielelezo tosha kwamba watu wengi wana mahangaiko makubwa sana na wangependa kumrudia Mungu wao kwa Uponyaji.
Naomba nizungumzie tabia za kukera za Coordinator wa SCOAN hapa Tanzania, Martha. Huyu dada ni kiburi sana, anamajidai, hajali watu, anajibu jeuri, na ku treat watu wazima kama vile wanafunzi wa sekondari. Huyu dada amejisahau, anaona kama vile anafanya kazi White House, amekosa kabisa maadili ya watu wanaosaidia watu wa Mungu.
Last week wafanyakazi wa SCOAN walikuja Diamond Jubilee. Huyo dada aliadhirika sana kwa kiburi chake, ni tofauti sana na watu wa SCOAN kutoka Nigeria.
Kwa kweli huyo dada, ni janga la taifa.
kwanini msinyenyekee wakati mnaenda kupata maji na maombezi ya uzima ....customer care kwako...
Let love lead!Wewe unataka uheshimike na watu hata kwa masuala yako ya kiroho? Umemwajiri, unamlipa kupitia kodi zako? Alikuambia yeye ana hisa ngapi katika kazi ya Uponyaji anayoifanya Mungu? Kwa nini unataka kuanzisha ugomvi na mtu ambaye hana msaada wala sehemu ya ufumbuzi wa matatizo yako ya kiroho? Wewe kama unamhitaji Mungu mtafute Mungu na achana na mambo ya watu hayakusaidii.
Changanya na zako ndugu, Kama wewe ni Mkristu yesu alifundisha na kupractice unyeyekevu ukiona mtu/kiongozi wa dini ana majigambo kibao/hana unyeyeevu ujue hapo hakuna mungu ni ushetani tu
Wewe unataka uheshimike na watu hata kwa masuala yako ya kiroho? Umemwajiri, unamlipa kupitia kodi zako? Alikuambia yeye ana hisa ngapi katika kazi ya Uponyaji anayoifanya Mungu? Kwa nini unataka kuanzisha ugomvi na mtu ambaye hana msaada wala sehemu ya ufumbuzi wa matatizo yako ya kiroho? Wewe kama unamhitaji Mungu mtafute Mungu na achana na mambo ya watu hayakusaidii.
kwanini msinyenyekee wakati mnaenda kupata maji na maombezi ya uzima ....customer care kwako...
You have made my day?
Lakini ina maana siruhusiwi kusema?
Kulalamika?
Nigeuze shavu ili nipigwe kofi jingine?
Tatizo lako unachanganya mambo ya kiroho na unataka yaendeshwe kwa ustaarabu wa kidunia. Ulimwengu wa roho ni halisi na si huu wa dunia hii. Unachodemand hakina hata u husiano na Mungu kukuhudumia wewe.Why are you fighting Marther as if God has failed to attend you because of her poor customer care as you are calling it! Eti Tanzanian mentality! Dont you know that there is only ONE TRUE UNCHANGING AND UNLIMITED GOD IN THE WORLD AND HEAVENS? Usishangae unashindwa kupokea kutoka kwa Mungu kwa ajili ya kiburi chako na wala si kwa ajili ya customer care mbaya ya Martha.Mungu hafuati ustaarabu wenu wa kidunia.Angalia Naaman mtu maarufu alipona ukoma kwa kujichovya katika mto Jordan. Hakuangalia mito ya kwao ina uzuri gani kunzidi mto Jordan na hakuona kama mto Jordan haukuwa wa hadhi yake. Unashangaza unaposema Mentality za kitanzania et ili uonyeshe utaaluma unyenyekewe hadi kwenye shida zako za kiroho!. Hilo lisahau!. Kwa Mungu hakuna hiyo! Wewe ndiiye unatakiwa kunyenyekea na kutii vile Mungu anakuagiza ufanye. (2KINGS 5: 1 - 14)Kumshambulia Martha ni dalili za wazi za ushamba wa kiroho.Dear Martha,Mimi sijaomba kuwa coordinator wa SCOAN Tanzania.Ila ni ngumu kwenda SCOAN bila kupitia kwenye OFISI YAKO YA BENJAMIN MKPA ULIYOJAA UKILITIMBA.TB Joshua haihitaji kusujudiwa kama wewe!Nilkichoomba hapa ni ku-imorove customer care.Is this too much for you?
Tatizo lako unachanganya mambo ya kiroho na unataka yaendeshwe kwa ustaarabu wa kidunia. Ulimwengu wa roho ni halisi na si huu wa dunia hii. Unachodemand hakina hata u husiano na Mungu kukuhudumia wewe.Why are you fighting Marther as if God has failed to attend you because of her poor customer care as you are calling it! Eti Tanzanian mentality! Dont you know that there is only ONE TRUE UNCHANGING AND UNLIMITED GOD IN THE WORLD AND HEAVENS? Usishangae unashindwa kupokea kutoka kwa Mungu kwa ajili ya kiburi chako na wala si kwa ajili ya customer care mbaya ya Martha.Mungu hafuati ustaarabu wenu wa kidunia.Angalia Naaman mtu maarufu alipona ukoma kwa kujichovya katika mto Jordan. Hakuangalia mito ya kwao ina uzuri gani kunzidi mto Jordan na hakuona kama mto Jordan haukuwa wa hadhi yake. Unashangaza unaposema Mentality za kitanzania et ili uonyeshe utaaluma unyenyekewe hadi kwenye shida zako za kiroho!. Hilo lisahau!. Kwa Mungu hakuna hiyo! Wewe ndiiye unatakiwa kunyenyekea na kutii vile Mungu anakuagiza ufanye. (2KINGS 5: 1 - 14)Kumshambulia Martha ni dalili za wazi za ushamba wa kiroho.
Tatizo lako unachanganya mambo ya kiroho na unataka yaendeshwe kwa ustaarabu wa kidunia. Ulimwengu wa roho ni halisi na si huu wa dunia hii. Unachodemand hakina hata u husiano na Mungu kukuhudumia wewe.Why are you fighting Marther as if God has failed to attend you because of her poor customer care as you are calling it! Eti Tanzanian mentality! Dont you know that there is only ONE TRUE UNCHANGING AND UNLIMITED GOD IN THE WORLD AND HEAVENS? Usishangae unashindwa kupokea kutoka kwa Mungu kwa ajili ya kiburi chako na wala si kwa ajili ya customer care mbaya ya Martha.Mungu hafuati ustaarabu wenu wa kidunia.Angalia Naaman mtu maarufu alipona ukoma kwa kujichovya katika mto Jordan. Hakuangalia mito ya kwao ina uzuri gani kunzidi mto Jordan na hakuona kama mto Jordan haukuwa wa hadhi yake. Unashangaza unaposema Mentality za kitanzania et ili uonyeshe utaaluma unyenyekewe hadi kwenye shida zako za kiroho!. Hilo lisahau!. Kwa Mungu hakuna hiyo! Wewe ndiiye unatakiwa kunyenyekea na kutii vile Mungu anakuagiza ufanye. (2KINGS 5: 1 - 14)Kumshambulia Martha ni dalili za wazi za ushamba wa kiroho.
Hupaswi kulalamika bali unapaswa kumshukuru mungu kwa kukufunilia kuwa hapo hakuna mungu. Wapendwa, msiamini kilaneno lililoongozwa na roho,l
lakini yajaribuni maneno yaliyoongozwa
na roho ili kuona
kama yanatokana na Mungu,m
kwa sababu manabii wengi
wa uwongo wameingia ulimwenguni.