macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 29,221
- 60,275
.
Jamani kwa heshima na taadhima nimeuliza nafasi ya haya maji ya upako na sii tena imani katika damu ya Bwana Yesu? Naona mmejikita zaidi katika kukwazwa na kukwaza kwa mnaemuita Martha badala ya kwa pamoja tuliangalie hili la msingi kabisa la nafasi ya Bwana Yesu katika mwamini? Some one help me p/se maana wivu wa ule uthamani wa ile Damu ya Yesu unanitafuna.
.
.
Jamani kwa heshima na taadhima nimeuliza nafasi ya haya maji ya upako na sii tena imani katika damu ya Bwana Yesu? Naona mmejikita zaidi katika kukwazwa na kukwaza kwa mnaemuita Martha badala ya kwa pamoja tuliangalie hili la msingi kabisa la nafasi ya Bwana Yesu katika mwamini? Some one help me p/se maana wivu wa ule uthamani wa ile Damu ya Yesu unanitafuna.
.
XXLIZ Umejitahidi sana kumtetea Martha (kama sio wewe ndio Martha. Naomba kukuliza mawsali yafuatayo:
1) Ni Watanzania wangapin wanatoa huduma mbali mbali kama Martha ambao wanafamilia zao, wanamaisha yao na stress zao? Cha ajabu anachofanya Martha ni kipi?
2) Ni watanzania wangapi wenye acess na internet ambao wanaweza kufanya on line appointments?
3) Ni kweli kwamba Martha ni mwema kiasi cha kulipia ofisini Benjamini Mkapa na kupiga pesa kwa hela yake? Free of charge?
4) Kama Martha anaona kwamba hiyo kazi ni burden kwake, kwa nini asimwambie T.B. Joshus kwamba it is too much for her?
5) Hivi ni lazima Martha akakatie watu ticket? Si. anaweza kufanya booking na kumpa kila mtu reserveation number, then watu wakakata ticket wenyewe. Hata la Visa inawezekana. Kama anaona ni ngumu sana, basi let her facilitate through dates na sio lazima afanye kila kitu
6) T.B Joshua na wahudumu wenzake wanapokea simu na kuhuudumia watu mara 1,000 ya Martha, how come hawajalalamikiwa? Watu wa kutoka dunia nzima? Martha is the only SCOAN coordinator? What about SA, Kenya and others?
Why Martha??????????????????????????????????????????????
However,
Praise the Lord!
Nakupongeza sana Sumba-wangu kwa kua muwazi, haya majitu kama martha ,Tabby and Suzie yapo kila kona duniani ni mapepo tu ,ujumbe umefika achana nayo.
Mi simfahamu. Ila inawezekana approach uliyotumia ni kama ya mtu anayetaka huduma hotelini. Customer care unahitaji kwani pale kuna biashara gani anayohitaji kupata faida. Upofu wa kiroho unatufanya tushindwe kutofautisha mambo ya kidunia na ya kiroho ndo unaosababisha arguments kama hizi. Tena bora yaliyokukuta inawezekana ni mpango wa Mungu kwani ameepusha mengi yasitokee kupitia wewe mya be u wakala wa shetani
Kiby tumekupata..
Jamani kwa heshima na taadhima nimeuliza nafasi ya haya maji ya upako na sii tena imani katika damu ya Bwana Yesu? Naona mmejikita zaidi katika kukwazwa na kukwaza kwa mnaemuita Martha badala ya kwa pamoja tuliangalie hili la msingi kabisa la nafasi ya Bwana Yesu katika mwamini? Some one help me p/se maana wivu wa ule uthamani wa ile Damu ya Yesu unanitafuna.
.
macho_mdiliko mshauri ndugu yako ahamishie swali lake na aende kuanzisha uji kwenye Jukwaa linalohusika.Hutapata jibu mkuu. Hii biashara kama ile ya jamaa wanaouza dhahabu fake wameweka kwenye kichupa na seal yake. Nasikia na hayo maji yanakuja yakiwa sealed kwenye vyupa hivyo hivyo. Kumbuka wale manabii wa siku zz ukingoni!!!
komesha kila kwenye jambo la Mungu, na wanadamu tunapotaka kumtafuta Mungu wetu, shetani naye hachezi mbaliNakupongeza sana Sumba-wangu kwa kua muwazi, haya majitu kama martha ,Tabby and Suzie yapo kila kona duniani ni mapepo tu ,ujumbe umefika achana nayo.
komesha, sisi watanzania hatujui hata haki yetu.Tabby unabwabwaja kama mtu uliyekosa matumaini, sema tu nitajirekebisha we vipi? kama huduma zako mbovu watakuchamba tu . Watu wanataka amani na upendo wew unaleta mikwala wakati unategemea hela zao , Let love lead
maria piaHaswaa,na yameshindwa coz nw tunaenda online 2.,.....na tutamweleza joshua live,mbona tushaenda bwana,joshua na team yake wako vzr 2 na wanahudumia watu wengi duniani kuliko wao!
nAOMBA NIWATOE UJINGA NDUGU ZANGU, SIFA MOJA YA MUNGU WETU NI KWAMBA YUPO KILA SEHEMU NA WAKATI WOTE, NI IMANI YAKO TU NA KUMUABUDU KTK ROHO NA KWELI!.
Siamini kaka Great Thinker wana nafasi kwenye maisha ya kiroho.Hebu jikumbushe kuzaliwa kwa Yesu na kuumbwa kwa ulimwengu wewe kama great thinker unaweza ukaelezea kibinadamu?Ndio shida yetu kubwa watanzania.
Ukipanda daladala, ukakanyagwa huna haki ya kuuliza kwa nini.
Unatakiwa kunyamaza tu.
Ukiuliza linakuwa kosa kubwa, jibu utakalopwe na kuambiwa "nenda kapande tax"!
Wala havina hata uhusiano.
Ajabu hata "Great Thinkers" wako mstari wa mbele kutetea Philosophy hiyo
cc Tabby, Mtambuzi, XXLIZ, Suzie
Siamini kaka Great Thinker wana nafasi kwenye maisha ya kiroho.Hebu jikumbushe kuzaliwa kwa Yesu na kuumbwa kwa ulimwengu wewe kama great thinker unaweza ukaelezea kibinadamu?
Upande wangu naamini asilimia mia kuwa wote wanaoenda huko wanataka kuwa na pesa nyingi zaidi.Ukiamini katika roho na kweli kila kitu kinawezekana popote pale ulipo.
NB:Nihatari kwa wale wamtegemeao mwanadamu kuliko Mungu,Mungu yupo na wewe muda wote lakini huamini kama ukimweleza shida zako atakusikia hadi unaamua kwenda kumfuata mwanadamu kwa gharama tena kubwa sana.
Sumbawanga mimi sio Martha and ila i know martha kiasi and sometimes i try to help her katika mambo mbalimbali as the spirit directs so i am not saying things out of the air , naomba tuwasiliane inbox kama kweli umekwazika sana na unataka kwenda scoan, i have been to scoan more than once with marthas Group so i know what you experienced.
Naomba kukujibu
1.cha ajabu anachokifanya martha ni kuwa anapokea maagizo kutoka kwa prophet on what to do in order to get visitors to visit scoan.she has direct communication to the scoan anytime any day .scoan wanamuamini yeye na sometimes hawezi kufanya chochote bila kuwa directed by scoan lagos and prophet
2
Watanzania wenye access na internet ni wachache thats why Martha is there to help coordinate wale ambao hawawezi kuapply basi sisi wenye acces ya kutumia mtandao kutupa lawama tutumie hii chance kuapply direct tusifanye watu wakakosa chance ya kupata deliverance kwa kumchafua the ONLY BRIDGE that we so far have (maana kuwa na martha na nyodo zake its a priviledge that we should appreciate)
3. Its hard to believe but yes martha pays for the office kiubinadamu huwezi kuamini but yes yes yes and she pays for everything to get you there,..........sasa sijui nikuaminisheje. Thats why i say the truth willl always stand and prevails
4.i believe as human she has , the job is too much for her, i believe anakwazika , anaregret, anaanguka , analia because of this coordinating people who have no appreciation to her humanity.
5.nakubaliana na wewe kuwa hiyo inaweza kuwa ni solution nzuri sana ila kibongo bongo unamfanyia booking mtu then atakupigia kukuuuliza ni dola ngapi? Mwingine atakwambia sijui ofisi ya ubalozi iko wapi? Hela yangu haijatosha nimetumia kwenye hiki na kile .etc believe me we tanzanians are full of excuses and we donot want procedures and systems .
In my poor understanding ni kuwa hii system yooooooote ya kwenda scoan imeratibiwa na scoan wenyewe Martha has no power to do otherwise without the concent of Man of GOD ,believe me she has respect for him and his guidances .
6.wahudumu wa scoan are also not angels they are also guided by the man of GOD and kama utapata neema ya kufika SCOAn utajua kuwa unachokifikiria kuhusu huduma kuwa watakupet pet mpaka uwe delivered sio tena unaweza lia . And they tell it to your face wht you need to be told Martha cha mtoto.
Naomba nimalizie kuwa mimi ni kabwela tu wa kariakoo nimeamua kujibu tuhuma hizi because i have been to scoan iwasaidie watu, hata sasa she is under pressure na anahitaji msaada wa kufanaya hiki na kile ili grupu liende .Tunatakiwa kumwombea kwa Mungu amuinulie watu wa kumsaidia au hata aondoe kibanzi chake kama kipo.. ONLY GOD can be the JUDGE,we are human we are not perfect ,to her she is putting her best self to what she is sent to do by the Lord through the Prophet AND THAT IS WHAT IS NEEDED.majibu yangu yanaweza yasiwe right kwako kwa mtazamo wako but nimeandika ninachokijua kusaidia na sio kwamba najidai kujua sana . I believe in TRUTH
XXLIZ Umejitahidi sana kumtetea Martha (kama sio wewe ndio Martha. Naomba kukuliza mawsali yafuatayo:
1) Ni Watanzania wangapin wanatoa huduma mbali mbali kama Martha ambao wanafamilia zao, wanamaisha yao na stress zao? Cha ajabu anachofanya Martha ni kipi?
2) Ni watanzania wangapi wenye acess na internet ambao wanaweza kufanya on line appointments?
3) Ni kweli kwamba Martha ni mwema kiasi cha kulipia ofisini Benjamini Mkapa na kupiga pesa kwa hela yake? Free of charge?
4) Kama Martha anaona kwamba hiyo kazi ni burden kwake, kwa nini asimwambie T.B. Joshus kwamba it is too much for her?
5) Hivi ni lazima Martha akakatie watu ticket? Si. anaweza kufanya booking na kumpa kila mtu reserveation number, then watu wakakata ticket wenyewe. Hata la Visa inawezekana. Kama anaona ni ngumu sana, basi let her facilitate through dates na sio lazima afanye kila kitu
6) T.B Joshua na wahudumu wenzake wanapokea simu na kuhuudumia watu mara 1,000 ya Martha, how come hawajalalamikiwa? Watu wa kutoka dunia nzima? Martha is the only SCOAN coordinator? What about SA, Kenya and others?
Why Martha??????????????????????????????????????????????
However,
Praise the Lord!