Continuos students loans applicants

Continuos students loans applicants

moyafricatz

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2015
Posts
2,905
Reaction score
4,928
Habari Wana Jamvi..

Uzi huu ni mahususi Kwa waombaji walioomba mkopo Toka bodi ya MIKOPO Kama Wanachuo wanaoendelea..

Bodi ya mikopo imetangaza batch kama Tatu na zote zilikua za waombaji freshers (wale kutoka form 6)lakini kwa tunaoendelea kumekua na sintofahamu ya lini batch yetu itatoka.

Tuna Pata wakat mgumu Sana kujua kama tufanye appeal (kukata rufaa) na Hawa freshers??

Tutakataje rufaa wakati hatujajibiwa!!.. Mawaziri wetu wa MIKOPO toka vyuoni wamekua kimya, loans officers pia na hata mhe Badru toka HESLB nae hajasema chochote kuhusu sisi tuliyoomba kama continuos wenye vigezo vya kupata mkopo ..

Labda tubadilishane mawazo hapa tujue nini kinaendelea kwenye hili suala au tumekosa wote mkopo continuous wote nnchi nzima??

Naomba kuwasilisha...
 
Jipange kifedha bodi tayari imewatenga hawa watu.. Angalia kwenye profil yako olams unawez kukuta umeambiwa APPEAL
 
Mbona wapo wamepataa saiz wanasubili bum ...batch four imewapa baadh japo ni wachache...ud nimeyaona majna ya continuous batch 4
 
Mbona wapo wamepataa saiz wanasubili bum ...batch four imewapa baadh japo ni wachache...ud nimeyaona majna ya continuous batch 4
wacha kupotosha umma, hakuna continuing student yeyote aliyepata mkopo mpaka saizi. J3 wanafunzi wanao endelea walikutana bodi ya mikopo pale na bodi wakasema wasubili ndani ya wiki hili
 
Continuous kcmc wamepangiwa hao mwaka huu.
 

Attachments

  • IMG-20171115-WA0002.jpg
    IMG-20171115-WA0002.jpg
    56.1 KB · Views: 60
wacha kupotosha umma, hakuna continuing student yeyote aliyepata mkopo mpaka saizi. J3 wanafunzi wanao endelea walikutana bodi ya mikopo pale na bodi wakasema wasubili ndani ya wiki hili
Apaa nipo chuo na majina nimeyaona ...sijajua kwa nin unabisha mkuu..bisha kwa logic
 
kinachofanywa na bodi ni zaidi ya kituko. serikali iongeze pesa bodi ya mikopo....
 
Wametoa hata Chuo cha Maji Jana continuous student japo ni wachache sana ila wametoa Jana fika Chuo husika mkuu
 
Dah kazi kweli kweli,
Msaada jaman Kama kuna wamzumbe humu ambaye anaendelea na masomo aliepata ama kama kuna alieona kama wametoa hayo Majina ya continuous aliepata mkopo kwa Mzumbe university (main campus) atusaidie plzzz
 
Naona nyinyi continues students mnyimwe tu ila continuing students wapewe.
 
Back
Top Bottom