Contact za Diamond au Manager wake hapa Dar es salam

Contact za Diamond au Manager wake hapa Dar es salam

Mzee_2015

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2015
Posts
255
Reaction score
58
Naomba kuwasiliana na Diamond katika masuala ya professional .Nahitaji nipate contact za uhakika za watu muhimu wanao simamia kazi zake hapa Tanzania kama (manager ,Press&Publicity officer, and judicial adviser) Nadhani diamond platinum rais wa wasafi amezungukiwa na Team ya watu niliowataja hapo juu.Naomba kupata contact zote
Jamani SITAKI IDHIHAKA SITAKI MATUSI. Anae jiona hupo sirious kunipa maelekezo au contact zao.
Tafadhali nitumie pm ili niweze kuzifanyia kazi
Ahsante
Mungu ndyie hakim wetu ..........
 
Mbona Diamond alirusha wazi kwenye social media juzi juzi na humu zipo zililetwa tafuta uzi humu utakuta nimeusahau

Labda kuna mtu atakumbuka akwambie wapi
 
Njoo sinza hapa kangaroo jamaa anakula maji sahv utpata kiulaini
 
Tena leo kaamua anakula dompo,nikimuotea namfotoa ntakutumia picha soon mkuu
 
Naomba kuwasiliana na Diamond katika masuala ya professional .Nahitaji nipate contact za uhakika za watu muhimu wanao simamia kazi zake hapa Tanzania kama (manager ,Press&Publicity officer, and judicial adviser) Nadhani diamond platinum rais wa wasafi amezungukiwa na Team ya watu niliowataja hapo juu.Naomba kupata contact zote
Jamani SITAKI IDHIHAKA SITAKI MATUSI. Anae jiona hupo sirious kunipa maelekezo au contact zao.
Tafadhali nitumie pm ili niweze kuzifanyia kazi
Ahsante
Mungu ndyie hakim wetu ..........

Yaani diamond kaka yangu hapatikani kiurahisi kabisa!labda nenda kule instagram kwenye account yake ya diamondplatnumz kuna namba alitoa kwa ajili ya kutuma video ya whatssap ya kucheza nyimbo yake ya NANA ujaribu kumtafuta huenda ukampata.

Mizunguko mingi sana njia rahisi ni bora tu uende ukaonane nae moja kwa moja!au ingia kwenye account ya gmail umtumie email address
 
Yaani diamond kaka yangu hapatikani kiurahisi kabisa!labda nenda kule instagram kwenye account yake ya diamondplatnumz kuna namba alitoa kwa ajili ya kutuma video ya whatssap ya kucheza nyimbo yake ya NANA ujaribu kumtafuta huenda ukampata.

Mizunguko mingi sana njia rahisi ni bora tu uende ukaonane nae moja kwa moja!au ingia kwenye account ya gmail umtumie email address

Kama unazifahamu naomba unitumie
 
Mbona Diamond alirusha wazi kwenye social media juzi juzi na humu zipo zililetwa tafuta uzi humu utakuta nimeusahau

Labda kuna mtu atakumbuka akwambie wapi

Ntachukuru ukinisaidia kwa kunitafutia number zake hizo alipo rusha katika social media
 
Nimeukumbuka uzi wenye namba, e-mail za kikazi kwenye fomu ya kutuma kideo BET

Ni
 
Njoo sinza hapa kangaroo jamaa anakula maji sahv utpata kiulaini

Rais kama ule siwezi kujipeleka mlangoni kama omba omba.Nadhani anazo njia maalum ili wanaotaka kushirikiana naye kazi waweze kuwasiliana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom