Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,162
- 162,590
Miongoni mwa wanasiasa ambao member mwenzetu hapa JF(mwanahabari) amekuwa akiwaunga mkono na kuwatetea ni bwana EL na ZZK.
ZZK alikuwa na misukosuko ndani ya chama na baada ya kuondoks ghafla katua TAC na kupewa uongozi wa juu wa chama.
EL nae kuteuliwa kugombea uraisi kupitia chama chake maswali ni mengi kuliko majibu.
ZZK kukubaliana na maamuzi ya pilato bila hata kuangaika kukata rufaa.
Wito wa ZZK kwa EL kujiunga TAC(inawezekana lengo ni kutishia nyau).
EL kuahidi kumuachia cheo cha kiongozi mkuu wa chama atakaeteuliwa kuwa mgombea uraisi kupitia chama chake
TAC ni chama kichanga lakini kinaonekana kuwa na hela ya kutosha kumudu kufanya mikutano maeneo mbali mbali nchini na hata kugharamia air-time kwenye media.
NB:Refer yale ya makada wengine wa chama cha magamba na iliyokuwa JCC(inagalie TAC ya leo kwa jicho la JCC ya wakati ule-zingatia, wanasiasa ni wale wale na tabia zao ni zile zile)
Nimeanza kufanya mazoezi ya ku-avoid "cyber bullying" kwahiyo usishangae sana kilichoandikwa na nilivyoandika.
Tuendelee kudadavua!
ZZK alikuwa na misukosuko ndani ya chama na baada ya kuondoks ghafla katua TAC na kupewa uongozi wa juu wa chama.
EL nae kuteuliwa kugombea uraisi kupitia chama chake maswali ni mengi kuliko majibu.
ZZK kukubaliana na maamuzi ya pilato bila hata kuangaika kukata rufaa.
Wito wa ZZK kwa EL kujiunga TAC(inawezekana lengo ni kutishia nyau).
EL kuahidi kumuachia cheo cha kiongozi mkuu wa chama atakaeteuliwa kuwa mgombea uraisi kupitia chama chake
TAC ni chama kichanga lakini kinaonekana kuwa na hela ya kutosha kumudu kufanya mikutano maeneo mbali mbali nchini na hata kugharamia air-time kwenye media.
NB:Refer yale ya makada wengine wa chama cha magamba na iliyokuwa JCC(inagalie TAC ya leo kwa jicho la JCC ya wakati ule-zingatia, wanasiasa ni wale wale na tabia zao ni zile zile)
Nimeanza kufanya mazoezi ya ku-avoid "cyber bullying" kwahiyo usishangae sana kilichoandikwa na nilivyoandika.
Tuendelee kudadavua!