Connection ya Korosho nje ya Tanzania

Connection ya Korosho nje ya Tanzania

mama hero

Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
37
Reaction score
33
Habari zenu wana Jamii forum.

Kama kichwa cha habari hapo, naweza kupata wapi connection ya kupeleka bidhaa yangu ya Korosho nje nchi.

Korosho ambazo zipo packed, zile za kuokwa na salted, please mwenye kujua jinsi gani naweza kupata Soko la uhakika msaada unahitajika.
 
Tafadhali jaribu fika ofisi za tantrade wanaweza kusaidia wanapatika barabara ya Kilwa viwanja vya Sabasaba , au ulishawahi jaribu?
 
Tafadhali jaribu fika ofisi za tantrade wanaweza kusaidia wanapatika barabara ya Kilwa viwanja vya Sabasaba , au ulishawahi jaribu?
Sijawahi, asante kwa maelekezo, pia km unaweza kujua wanahitaji vitu gani?
Au maelezo yote naweza kupata pale?
 
Hii biashara bn, duh nzuuri sana.
Ila ithink uwapate madalali wazoefu mzigo unateembea faster.

Nimehudum kwenye kiwanda cha korosho nimeona hii biashara vzr.
Kuna network ya madalali wanawajua wazungu karb wote .

Ukiwadaka hawajamaa mzigo n siku tu unaisha wote.
Ila sasa,inabid uwe makin sana.

Kutapeliwa kwenye hii kitu ni easy.
Kuna ujanja ujanja sana
 
Hii biashara bn, duh nzuuri sana.
Ila ithink uwapate madalali wazoefu mzigo unateembea faster.

Nimehudum kwenye kiwanda cha korosho nimeona hii biashara vzr.
Kuna network ya madalali wanawajua wazungu karb wote .

Ukiwadaka hawajamaa mzigo n siku tu unaisha wote.
Ila sasa,inabid uwe makin sana.

Kutapeliwa kwenye hii kitu ni easy.
Kuna ujanja ujanja sana
Asante sana
Umakini unatakiwa.
 
Vipi ulifanikiwa kupata connection
Hebu rudi huko kidogo tusikie umefikia wapi
 
Back
Top Bottom