Connection na ajira

Lazima na wewe una connection nzuri, followers na unaowa follow wazuri na wa kutosha na uzoefu mkubwa huko LinkedIn

Ukikutana na connection waweza kuconnect wengine pia
Na mimi ambaye sina connections ninafanyaje kupata connections hapa mjini?
 
Mimi huwa naamini mtu anachosema ndio cha ukweli
Ila hiyo taxbubu yako isajili sasa..... Au unalipia shilingi 54 na senti 8 kila siku kama mimi?????
Siwezi kukudanganya my wangu. Ninaendesha CHASER AVANTE GX-100 tatizo engine ndio kubwa inakula sana mafuta ndio maana sipati faida.
 
Wadau leo nataka kujua mambo kazaa mawili matatu katika Ajira apa Tanzania.

1. Connection ni nini?

2. Connection zinapatikana wapi?

3. Ni nani anastahili kupewa connection na yupi hastahili connection?

4. Share na sisi moja ya connection uliyowai kuishuhudia ama uliyowai kunufaika nao kwa ujumla katika swala la ajira. Na ni kwanini watu wengi tunaoitaji ajira tunajikuta tunaamini sana katika connection kuliko kupambana binafsi?

Zungusha bahasha ya ajira ndio utajua coneksheni ni nini
 
Back
Top Bottom