OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,106
- 24,034
Hizo piki piki kwa sasa bei yake ikoje mkuu?Mkuu nje ya mada, zile pikipiki zetu za umeme tuachane nazo kwanza. Maintenance cost ni kubwa ingawa mafuta hutumii. Umeme mwingi na spares bei ghali sana hasa lile betri.