Congratulation to Demiss

Congratulation to Demiss

Unanilazamisha niandike weye nani humu? Demiss mwenyewe mbona hakuona la ajabu lolote katika kile nilichopost? Acha ujinga wa kutafsiri utakavyo wewe kilichokuwa posted hapa jamvini.

Ungemtaka radhi tu na nashangaa admn amekuacha hadi saa hii, hebu muandikie na madam faiza tuone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah!!jamani!!!
Huyu dada naambiwa ndo MPOKEAJI MKUBWA HAPO DODOMA... WANA JF WENGI WAKIENDA DOM WANAKIRIMIWA NA DEMISS ANA MOYO WA UKARIMU SANA. binafsi nmeanza kuamini sababu kuna watu kadhaa wamenambia ukienda Dom mtafute tu demiss na namba zake nlipewa.

Aendelee na moyo huo huo wa kukarimu members wa JF. Hakuna kitu kibaya unaenda mkoani unafikia hotel au lodge huna mwenyeji... Unaona kama unapoteza tu pesa kulala pale. Ni bora uwe unalala stand au uwanja wa mpira

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndio tafasiri sahihi ya kwamba

DEMU AKIWA MRAHISI BASI ATAAMBIWA KILA AINA YA LUGHA RAHISI.


Maneno kama haya, Huwezi kaa umwandikie Faiza Fox..kwann??!!!! .

Kwa sababu kwa kila mmoja alivyojichora ndivo na jamii inavyomchukulia.


Najua unatania..hata mimi nimetania tu.
ohoooooo
 
Wadada mnatakiwa muwe kama mwenzenu au nyie hampendi promotion za Hongera kiasi hiki?
 
Back
Top Bottom