Congratulation to Demiss

Congratulation to Demiss

Hii ndio tafasiri sahihi ya kwamba

DEMU AKIWA MRAHISI BASI ATAAMBIWA KILA AINA YA LUGHA RAHISI.


Maneno kama haya, Huwezi kaa umwandikie Faiza Fox..kwann??!!!! .

Kwa sababu kwa kila mmoja alivyojichora ndivo na jamii inavyomchukulia.


Najua unatania..hata mimi nimetania tu.
utani hahaa sawa mkuu ujumbe umefika
 
Huyu dada naambiwa ndo MPOKEAJI MKUBWA HAPO DODOMA... WANA JF WENGI WAKIENDA DOM WANAKIRIMIWA NA DEMISS ANA MOYO WA UKARIMU SANA. binafsi nmeanza kuamini sababu kuna watu kadhaa wamenambia ukienda Dom mtafute tu demiss na namba zake nlipewa.

Aendelee na moyo huo huo wa kukarimu members wa JF. Hakuna kitu kibaya unaenda mkoani unafikia hotel au lodge huna mwenyeji... Unaona kama unapoteza tu pesa kulala pale. Ni bora uwe unalala stand au uwanja wa mpira
 
Huyu dada naambiwa ndo MPOKEAJI MKUBWA HAPO DODOMA... WANA JF WENGI WAKIENDA DOM WANAKIRIMIWA NA DEMISS ANA MOYO WA UKARIMU SANA. binafsi nmeanza kuamini sababu kuna watu kadhaa wamenambia ukienda Dom mtafute tu demiss na namba zake nlipewa.

Aendelee na moyo huo huo wa kukarimu members wa JF. Hakuna kitu kibaya unaenda mkoani unafikia hotel au lodge huna mwenyeji... Unaona kama unapoteza tu pesa kulala pale. Ni bora uwe unalala stand au uwanja wa mpira
Aiseee
 
Trust me, naposema nina sababu zaidi ya Buku kumsimamia namaanisha.


Ktk umri wa Utu uzima wake
1---Nilimkuta na usichana wake .....kila napotafakari hii kitu, Nikiutizama uzuri wa sura yake, shape lake matata, hips zilizokimbiana., mimi ninani???? Inamaana changamoto zoooote mpaka anamaliza Chuo kikuu, hakuwahi kutongozwa???!!!.


Hapa ndipo napataga nguvu ya kusema , Maisha ni Uchaguzi, ukiweza kuchagua. Umechagua kuweza .
Dah...Chief mbona kurudisha usichana mchina analipisha buku 3 tu

Sent using Beretta ARX 160
 
Back
Top Bottom