GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,648
- 10,843
Ilikuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe hata kabla haijawa mwanachama wa EAC! Na ilipopata uachama, kadhia iliyokuwepo ya ukosefu wa amani iliendelea kuwepo, huku Rwanda ikituhumiwa kuhusika pakubwa kuyumbisha amani kwa ndugu yake, Congo DRC!
Ninajaribu kuwaza!
1. Congo ilitarajia kupata nini baada ya kujiunga na familia ya EAC?
2. Kama jumuia husika imeshindwa kumkemea mmoja wa wanachama wake anayenyooshewa kidole kuhusika kuyumbisha amani Congo DRC, itaweza kuwatetea wanachama wake mbele ya mataifa tajiri?
Ninajaribu kuwaza!
1. Congo ilitarajia kupata nini baada ya kujiunga na familia ya EAC?
2. Kama jumuia husika imeshindwa kumkemea mmoja wa wanachama wake anayenyooshewa kidole kuhusika kuyumbisha amani Congo DRC, itaweza kuwatetea wanachama wake mbele ya mataifa tajiri?