Congo based Rwandan FDLR rebels ready to surrender to UN


Wapigane ndani ya Rwanda? Hivi huko imebaki hata sehemu ya kukanyaga kweli? Milima 1000. Watu milioni 10?. Wewe unafikiri kwa nini wanaitaka kivu kusini. Nchi imejaa ati. Oh! Nimesahau na gorila.
 
Wapigane ndani ya Rwanda? Hivi huko imebaki hata sehemu ya kukanyaga kweli? Milima 1000. Watu milioni 10?. Wewe unafikiri kwa nini wanaitaka kivu kusini. Nchi imejaa ati. Oh! Nimesahau na gorila.

You drink and sleep JF everyday Bashing Kagame/Rwanda,then hata pa kukanyaga hakuna (sore loser much)... why do you care so much about Rwanda?FYI Rwanda it is what it is today because of Kagame so haters like you wont change a thing na will keep getting better everyday so get use to it and over it.
 
Hivi kumbe umeleta mada bila kuisoma...
Si wamesema wanaweka silaha chini au?????

Wanaweka silaha chini wanaunda chama ...au mimi ndio sijaelewa?????
Mkuu hiyo ndiyo makitu Kagame hataki.
Hao Wahutu kuunda chama cha siasa, halafu ku-contest elections wanaweza kushinda by sheer numbers game.
Hilo Kagame hataki kabsaaaaa!! Maana hataki kusrudi msituni.
Wakishinda kisiasa hao wahutu, wanaweza kumpeleka Kagame lupango au kumwua kabisa kwa mauaji ya Kobeho na sehemu nyingine ambazo RPF imethibitika waeua.
 

Ahahahahahahahahah, Mzee wa sumuuuuuu, tema sumu tema sumu. Mzee wa jenosaidiiiiii...
 
WanyaRwanda wanaoipenda nchi yao

Okay kumbe na wewe ni timu moja na Mchambawima...ni vizuri ume declare interest...ingawa sioni kama kuna unyarwanda kwenye comments zenu...zaidi naona wahutu na watutsi
 
Okay kumbe na wewe ni timu moja na Mchambawima...ni vizuri ume declare interest...ingawa sioni kama kuna unyarwanda kwenye comments zenu...zaidi naona wahutu na watutsi
I am challenging you, to point any single statement from my ID inayoonyesha ukabila.
 
I am challenging you, to point any single statement from my ID inayoonyesha ukabila.

Si ID my dear...natumia discourse analysis...maandiko yako ndio yanayokuhukumu...

Subiri ...from now ntakuwa na underline pale unapoonyesha chuki ya kikabila...
 
Dream on na misikio yako mikubwa kama ya tembo.
 
Si ID my dear...natumia discourse analysis...maandiko yako ndio yanayokuhukumu...

Subiri ...from now ntakuwa na underline pale unapoonyesha chuki ya kikabila...
Kama umeshindwa kuonyesha the base of that so called analysis, it means your arguments are baseless.
I insist point out anywhere from my posts niwapi naonyesha ukabila,otherwise nitake ladhi;
May be kama unasema kum support Raisi wangu ni ukabila.
 
Hivi mkuu M23 ina mpango gani wa kurudi DRC?

Nafikiri hilo swali ungeliuliza kabila kwani M23 walisaini mkataba na wakusimamisha vita na kuna mashariti ya kurudi kwao congo yanayotakiwa kufanyiwa kazi,nacho jua kikubwa ni kwamba FDLR na vile vikundi vyote vinavyo leta vurugu ndani ya congo lazima viondolewe ili wao wawa salama kwani hiyo ni sehemu ya sababu iliyo wafanya kushika silaha bila hivyo nafikiri kurudi kwao bado viko mbali sana.
 
Umefufuka kutoka katika wafu. Majeshi yenu ndio yanafungasha virago hivyo. Si uende ukawasaidie?
Si majeshi si lolote, ni wauwaji tu! Wangekuwa ni wanajeshi wangeingia front sio kuishia kuuwa raia wasio na hatia. Na Kabila alivyomtu wa ajabu kaona kule Kivu washauwa wakutosha sasa kawatafutia project nyingine Kisangani, yaani tabu tupu DRC. Kama anataka kweli kuwasaidia awatume kwetu tuwatemeshe sumu zao alafu waingie uraiani nao wasaidie kujenga Mille Collines yetu
 
Umefufuka kutoka katika wafu. Majeshi yenu ndio yanafungasha virago hivyo. Si uende ukawasaidie?

utawasaidia nini wananchi wa rwanda wanaojiandaa kurudi kwao baada ya propaganda nyingi za paka? bila shaka ni kwa jumuiya ya kimataifa kuendelea kuiminya serikali ya dikteta paka
 
Wewe ni mtutsi au siyo mtutsi...na kama ni kweli mtutsi jiulize nimejuaje...

Najua utayeyusha kwa kukimbilia kuwa wewe ni mnyarwanda ...lakini ukweli unaujua kuwa wewe ni mtutsi...

Ukiweza kuandika in such a way mtu kama mimi au yeyote asijue wewe ni wa kabila gani hapo ndio unaweza pinga kuwa huna ukabila...


Kama umeshindwa kuonyesha the base of that so called analysis, it means your arguments are baseless.
I insist point out anywhere from my posts niwapi naonyesha ukabila,otherwise nitake ladhi;
May be kama unasema kum support Raisi wangu ni ukabila.
 

Kazi kweli! Sasa we unaanzisha ukabila alafu unauliza mtu nayeye anakuambia mi mnyarwanda lakini haukubali mpaka aseme ye mtutsi au mhutu ndio ufurahi?
Acheni kujiaibisha kwenye nchi za watu jamani!
 

Usilete ukabila hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…