Conflit btn me and one i love

Conflit btn me and one i love

Joined
Sep 2, 2013
Posts
10
Reaction score
2
Nilikuwa na mpenzi wang akaenda depo la moja wapo ya chombo cha ulinzi na usalama. Kutokana na tabia tabia ya kutamani nikajikuta nimeingizwa kwenye mtego na binti mmoja nika mtia mimba ila tuliachana naye. Sasa bac alipo rudi yule wa depo ambaye kwenye mahusiano tuna kama miaka 3, akagundua kuwa mi nilisha halibu akapunguza ma love kuwa siliana na wasiliana naye ila kuna vi2 vime pungua ambavyo mwanzani nilikuwa navipata lakin sasa imekuwa tofauti sasa nifanye kwake nangali bado na mpenda
 
Nilikuwa na mpenzi wang akaenda depo la moja wapo ya chombo cha ulinzi na usalama. Kutokana na tabia tabia ya kutamani nikajikuta nimeingizwa kwenye mtego na binti mmoja nika mtia mimba ila tuliachana naye. Sasa bac alipo rudi yule wa depo ambaye kwenye mahusiano tuna kama miaka 3, akagundua kuwa mi nilisha halibu akapunguza ma love kuwa siliana na wasiliana naye ila kuna vi2 vime pungua ambavyo mwanzani nilikuwa navipata lakin sasa imekuwa tofauti sasa nifanye kwake nangali bado na mpenda

Huduma za mtoto unatoa au uliacha mpaka damu yako.
 
Ungelikuwa unampenda usingelimchiti!mchukue huyo mwenye mtoto wako muanze life,mana ndo ulichokuwa unakitaka,mtego gani huo hukuvaa hata condom?
 
Yule dada naye ana m2 ye nimisteki ya kinga kupasuka na m2 ye bado ana muhitaji enda po yu mjamzito
 
Hala hala usijepigwa na vitu vyenye ncha kali tu...!!!
 
Poor communication skills plus narrow thinking-chukua chelewa zako uende shule uwahi ukafagie

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
uamuzi unao wewe mwenyewe kama ulivyoamua na huyo wa mimba, sasa sie tukuamulie nini? Songa mbele
 
C bure ww utakuwa tu unamatatizo ya problem yanayosababishwa na because but lakini acha tamaa.
 
Nilikuwa na mpenzi wang akaenda depo la moja wapo ya chombo cha ulinzi na usalama. Kutokana na tabia tabia ya kutamani nikajikuta nimeingizwa kwenye mtego na binti mmoja nika mtia mimba ila tuliachana naye. Sasa bac alipo rudi yule wa depo ambaye kwenye mahusiano tuna kama miaka 3, akagundua kuwa mi nilisha halibu akapunguza ma love kuwa siliana na wasiliana naye ila kuna vi2 vime pungua ambavyo mwanzani nilikuwa navipata lakin sasa imekuwa tofauti sasa nifanye kwake nangali bado na mpenda

Sasa wewe umemsaliti mwenzio unategemea akuchekee na kukufurahia? Unajua alijilinda na kujitunza kiasi gani kwa ajili yako? Unajua amewakataa wangapi kwa ajili yako? Unajua alikuamini kiasi gani? Unafikiri muda aliopoteza na moyo aliouwekeza kwako kwa muda wote umepewe malipo ya namna hii na bado yeye aendelee kukuchekea?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom