Kwa wale ambao wamekosa vyuo vya afya diploma or certificate, but Wana Nia ya kwenda chuo mwaka huu pm namba yako kuna chuo kpo kinahitaj wanafunz kmechelewa kudahili
Kwa wale ambao wamekosa vyuo vya afya diploma or certificate, but Wana Nia ya kwenda chuo mwaka huu pm namba yako kuna chuo kpo kinahitaj wanafunz kmechelewa kudahili
Hata mim, presha imepanda mpaka imeshuka,yaan sina ham,kwenye profile yangu ya tcu,wameniambia kuwa nimekuwa comefermed from my institusion for adimition, ki2 kinachonichosha zaid majina ya second batch yametoka, ila lakwangu halipo....
Kuweni wapole na ni kawaida sana...TAREH 16 NDIO DEADLINE YA KUAPLY AMBAPO TATIZO NDIPO LILIPOANZA... ipo vile vile hamna kitakachobadilika...
Kwan hamjapokea admission letter kutoka chuoni? Ukisha be selected ndio basi hamna namna.... na hili tatizo ni kwa wote wa NACTE ila sio tatizo ni kawaida sana...sema ninyi mmekuwa mkitembelea profile zenu mara kwa mara ndio maana hata kosa dogo kiufundi mnaliona...
Kuweni na amani bhanaa
Bora yenu ninyi mmeona na majina ktk website za vyuo vyenu lkn sis hakuna hata majina na tulipata provisional selection tu, Sasa sijui ndo isharamba kwetu!!!!? Mnnnh! Kz ipo
ila majinq yet yalichelew kupelekewa chuo sasa cjui fatizo ili wamesha lirekebisha maaan sisi wa udom na udsm ndo tunasumbuliwa nacte ila vyuo vingine wao washa jua utaratib unakuaje, tukae kusid kuomb ili nacte watuurumie watufanyie utaratib nasi uwe sawa kama vyuo vingine.