Confirmation from Chuo

Mpambalachuma

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2015
Posts
362
Reaction score
44
Jaman naombeni tujadili kuhusu wanafunzi tuliochaguliwa ktk profile ambapo tumepewa provisional selection, Sasa nin hatma yetu maana Muda pia unaenda jaman, mwenye kufahamu bc tujadili ili tuone nini cha Kufanya Kwa wakt huu
 
mkuu vumilia watakupa maelekezo wala usiwe na wasiwasi
 
mkuu vumilia watakupa maelekezo wala usiwe na wasiwasi

Sasa wasiwasi umeanza kuzid maana jamaa wapo kimya, pia nahofia kukatwa kama muhimbili wametengua udahili Kwa selected candidates
 
Wengine tumeandikiwa provisional selection ila tumeshaona majina yetu kwenye chuo husika kwahiyo na nyie muwe mnaangalia website ya chuo mlichokuwa provisionally selected kama wametoa majina mengine ila mkiifuata TCU huenda ikachukua muda labda mpaka rounds zote ziishe.
 

Sasahiv wameondoa selection ktk profile yangu, Hawa Nacte!!
 
Inasikitisha sana ila cha msingi ni kuwasiliana na Nacte kama ulisha kuwa provisionally selected na hiyo selection hauioni ila kujua shida nini.

Hawapokei simu, then kesho wk end had j3
 
Mi nilikuwa na pressure hadi nimeamua kuwa mpole
 
Hata mim, presha imepanda mpaka imeshuka,yaan sina ham,kwenye profile yangu ya tcu,wameniambia kuwa nimekuwa comefermed from my institusion for adimition, ki2 kinachonichosha zaid majina ya second batch yametoka, ila lakwangu halipo....
 
Jaman naombeni tujadili kuhusu wanafunzi tuliochaguliwa ktk profile ambapo tumepewa provisional selection, Sasa nin hatma yetu maana Muda pia unaenda jaman, mwenye kufahamu bc tujadili ili tuone nini cha Kufanya Kwa wakt huu

Mimi Chuo Nilichochaguliwa WameConfirm Tayari.. Niliingia kwenye Website ya Chuo Husika Nikakuta wameshatoa Majina YETU Watu Wa NACTE
. Na wakatutaka Tu Confirm kwa Kuwatumia Email kama Tuta Report au Lah..

Na Nikatuma Wakaniconfirm na Pia Nikamtuma Mtu aende Hapo Chuoni kuulizia Akakuta Tumesha be Confirmed
 

Kwan niny level Gan mliotumiwa email!?
 
Sasa kutiana stress tu, lkn naombeni nipate pale pale bonge la chuo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…