Jaman naombeni tujadili kuhusu wanafunzi tuliochaguliwa ktk profile ambapo tumepewa provisional selection, Sasa nin hatma yetu maana Muda pia unaenda jaman, mwenye kufahamu bc tujadili ili tuone nini cha Kufanya Kwa wakt huu
Wengine tumeandikiwa provisional selection ila tumeshaona majina yetu kwenye chuo husika kwahiyo na nyie muwe mnaangalia website ya chuo mlichokuwa provisionally selected kama wametoa majina mengine ila mkiifuata TCU huenda ikachukua muda labda mpaka rounds zote ziishe.
Wengine tumeandikiwa provisional selection ila tumeshaona majina yetu kwenye chuo husika kwahiyo na nyie muwe mnaangalia website ya chuo mlichokuwa provisionally selected kama wametoa majina mengine ila mkiifuata TCU huenda ikachukua muda labda mpaka rounds zote ziishe.
Hata mim, presha imepanda mpaka imeshuka,yaan sina ham,kwenye profile yangu ya tcu,wameniambia kuwa nimekuwa comefermed from my institusion for adimition, ki2 kinachonichosha zaid majina ya second batch yametoka, ila lakwangu halipo....
Jaman naombeni tujadili kuhusu wanafunzi tuliochaguliwa ktk profile ambapo tumepewa provisional selection, Sasa nin hatma yetu maana Muda pia unaenda jaman, mwenye kufahamu bc tujadili ili tuone nini cha Kufanya Kwa wakt huu
Mimi Chuo Nilichochaguliwa WameConfirm Tayari.. Niliingia kwenye Website ya Chuo Husika Nikakuta wameshatoa Majina YETU Watu Wa NACTE
. Na wakatutaka Tu Confirm kwa Kuwatumia Email kama Tuta Report au Lah..
Na Nikatuma Wakaniconfirm na Pia Nikamtuma Mtu aende Hapo Chuoni kuulizia Akakuta Tumesha be Confirmed
Mimi Chuo Nilichochaguliwa WameConfirm Tayari.. Niliingia kwenye Website ya Chuo Husika Nikakuta wameshatoa Majina YETU Watu Wa NACTE
. Na wakatutaka Tu Confirm kwa Kuwatumia Email kama Tuta Report au Lah..
Na Nikatuma Wakaniconfirm na Pia Nikamtuma Mtu aende Hapo Chuoni kuulizia Akakuta Tumesha be Confirmed