Condoms have to be taken off properly

Condoms have to be taken off properly

Kiuhalisia hili somo ameli exaggerate kiasi lakini ni somo zuri watu kukumbushana.

Kwa unafiki tunaoufanya unakuta hata hatuwafundishi watoto wetu juu ya majanga yatokanayo na kufanya ngono zembe, unamwacha mtoto akafundishwe na wenzake.

We need to change people.
 
Naombeni msaada kuku wangu wa kienyeji ana mimba ya miezi 7 lakni haikui kwa nini?
 
Huwez kuelewa wew hata huko class kwet ulikuwa slow Lena,,hahahaa (natania tu)
nakumbuka nilipata credit ya ingilishi sasa hata sielewi niliipataje wakati hapa nimetoka kapa
 
Hii lugha bhana shida kweli eti mtihan wa form four nlipata B lkn hapa sijaelewa mazima hivi ile b sijui nlipendelewa dah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom