Hilo tatizo ni common sana kwa laptop nyingi,ila maranyingi huwa linanipa tabu kwenye kulitatua,naomba mnipe somo kidogo juu ya hili, kuna upande mmoja unakuta fan inawaka kidogo theninakata na upande mwingine unakuta fan inawaka vizuri tu but still kunakuwa na blaq screen.
Pia kuna matatizo mengine mawili ningependa kusaidiwa;
1. Computer inawaka but mwanga wa screen mdogo sana kiasi kwamba huwezi kuona kinachoendelea,mwanga unakuwa kwa mbali sana.
2. Computer ukiweka cd ya window kwa ajili ya kuiformat inafika mahali katikati ya safari inaload bila kumaliza
**Naombeni somo kwa hayo matatizo yote