Maskini DIALOOO;;;;;;;;;;;KAKA YETU.......
Kwenu wanandugu,,habari za kusitisha na kuuzunisha kwa wale ambao
walikuwa wasafari wa ndege ya COMMUNITY AIRLINE...Waheshimiwa wameamua kusimamisha safari baada ya kushindwa kulipa ndege waliokodi mwanzoni na hivyo kuamua kufuta kabisa mpaka hapo watakapotangaza tena.,,habari hii unaweza kuisoma kwenye website yao ASAP...kwa kweli nilikuwa mpenzi sana wa ndege hii na kama mnakumbuka kuna siku walitunynyasa hapa uwanjani tukiwa tunaelekea msibani...awakutokea uku tukiahwa kama paka wasiojua nini cha kufanya......mpaaka tuliporushwa usiku wa manane na ndege ya ATCL.......mwanzoni nilifurahi maana nilichokuwa nafanya ni kujitahiidi kila ndugu awe amepanda ndege kabla ya kfa kwao hata hivyo alibaki bibi ambae alikataa kuja toka mwanza...swali langu najiuliza ndugu yangu dialo kabla ya kuingi kwenye hii shuguli uliomba busara za wana...ANGA..????habari zilizotufikia ni kwamba wafanyakazi wote waliochukuliwa toka
mikoani wamerejeshwa makwao mpaka watakapoitwa tena.....na hakuna taarifa kuhusu mshahara watalipwa au lah..
karibu mkuu DIALO hii ndio bishara ya ndege waulize ""AIREXPRESS"
KAZI KWAKO MKUU
Kwenu wanandugu,,habari za kusitisha na kuuzunisha kwa wale ambao
walikuwa wasafari wa ndege ya COMMUNITY AIRLINE...Waheshimiwa wameamua kusimamisha safari baada ya kushindwa kulipa ndege waliokodi mwanzoni na hivyo kuamua kufuta kabisa mpaka hapo watakapotangaza tena.,,habari hii unaweza kuisoma kwenye website yao ASAP...kwa kweli nilikuwa mpenzi sana wa ndege hii na kama mnakumbuka kuna siku walitunynyasa hapa uwanjani tukiwa tunaelekea msibani...awakutokea uku tukiahwa kama paka wasiojua nini cha kufanya......mpaaka tuliporushwa usiku wa manane na ndege ya ATCL.......mwanzoni nilifurahi maana nilichokuwa nafanya ni kujitahiidi kila ndugu awe amepanda ndege kabla ya kfa kwao hata hivyo alibaki bibi ambae alikataa kuja toka mwanza...swali langu najiuliza ndugu yangu dialo kabla ya kuingi kwenye hii shuguli uliomba busara za wana...ANGA..????habari zilizotufikia ni kwamba wafanyakazi wote waliochukuliwa toka
mikoani wamerejeshwa makwao mpaka watakapoitwa tena.....na hakuna taarifa kuhusu mshahara watalipwa au lah..
karibu mkuu DIALO hii ndio bishara ya ndege waulize ""AIREXPRESS"
KAZI KWAKO MKUU