Ni kama tu ilivyo Stock exchange market, na hii ya comodity market inakuwa na vitu hivyo hivyo
1. Wauzaji
2. Wanunuzi
3. Bei
Ila kwa Bongo kama mnavyo jua bei za mazao hupangwa na bod sijui za pamba, korosho na kazalika so kuwa na strong comodity market huku kwetu ni ndoto sana,
Na kuna comodity za aina mbili,
1, Hard commodity- hii ni kama madini, natural gesi, makaa ya mawe na kazalika
2. Soft Commodity- hii ndo ina vitu kama mazao means mahindi. pamba, mchele na kazalika