Mkuu mshumaa wa nini wakati vituo vya polisi kwa sasa ni vituo vya madili? Mi nkipita polisi karume,polisi pale kamata karibu na HQ ya tigo,oysterbay n.k utashangaa sana. Yani kuna askari zaidi ya 50 kila kituo wamekusanya viti vibovu vya plastic ,wamevifungafunga na kukalia wakigawana madili. Utasikia sijadaka leo! Apo anamaanisha ajapata dili siku iyo! Wana pikipiki utoka kwa zamu na kwenda kuwinda elf5 tano barabarani. Kwa kweli Tanzania polisi wetu ovyo,najua ni kutokana na viposho kiduchu na lack of planning kwa gvt.maana vituo vingine nje ya mji utakuta askari 3 na bunduki moja,aidha hamna hata risasi,au na risasi2 na virungu! Sasa eti wameleta polisi jamii,nani atatulipa polisi jamii wakati kazi tumewapa nyie?? Polisi wamegeukia madili!