Huyu jamaa hata akishinda ukweli ni kwamba yuko kwenye politics za kulazimisha tu lakini at the end of the day hana legacy yoyote zaidi ya kujineemesha
uyu jamaa anaweza kuwa fisadi ila anawajali watu wako kaleta maendeleo sana monduli ndoo maana wamasai wamamfeel....na ndo maana ya ubunge au siyo jamani...anaekujali ndo unaempa aijalishi kapata wapi hela