Mr sule
JF-Expert Member
- Oct 14, 2021
- 607
- 1,097
Hii sentence inatumiwa na wakristo wakiwakaribisha waliopotea kanisani.
Njoo kama ulivyo, haijalishi wewe ni mchawi, mzinzi, mpangani, shoga, tapeli, jambazi au fisadi, ila kanisani unakaribishwa na utapokelewa.
Kuna haja Dini zingine kutumia msemo huo ili kuokoa Dunia na kuepuka chuki na ufia Dini unaoendelea kuangamiza Dunia.
Njoo kama ulivyo, haijalishi wewe ni mchawi, mzinzi, mpangani, shoga, tapeli, jambazi au fisadi, ila kanisani unakaribishwa na utapokelewa.
Kuna haja Dini zingine kutumia msemo huo ili kuokoa Dunia na kuepuka chuki na ufia Dini unaoendelea kuangamiza Dunia.