Collection yangu week hii...

Huyu Mbuzi Mzee imani yangu inaniambia kuwa hata akikuta mtoto katumbukia kwenye shimo la choo kabla ya kumuokoa atampiga picha kwanza ili ailete JF halafu ndio afanye mchakato mwingine.By the way nimekukubali mkuu na wewe ndio bingwa jukwaa la Jamii Photos.
 
Sasa Zimeanza



Njemba ya Kulia: Umechakachua hela ya vinywaji wewe, hebu ona vilivopelea, leo utantambua!

Njemba ya Kushoto: Unanionea tu kwa sababu una 'mwili-jumba', mbona mweka hazina ni wewe mwenyewe?

kaz kwelkwel.
 

VERY TRUE...HAPO UMEONGEA KABISA. WATU WEUPE WANAFIKI WAKUBWA NA OPPORTUNISTICs, KAMA HAKUNA KITU ANAPATA KUTOKA KWAKO, HUNA THAMANI MACHONI PAKE. I CAN'T STAND THEM.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…