Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,167
- 16,256
View attachment 128324
Kwenye msafara wa mamba na ......
Inshu ni kwenye kuweka label au?
Hii coke ya mwaka 2014
hahahahahhaha na kweli itakua duka la mchagga.
Wakati wa kuweka lebo,vifuniko za kinywaji husika,ni mtu ndiye anayeweka vifaa hivyo kwenye sehemu husika.Kama unazalisha coke,lakini ukaweka lebo za fanta,kompyuta itaweka tu hizo lebo.Hii inatokea kwenye bidhaa nyingi tu.Label zinawekwa kwa Computer programed machine,hiyo itakuwa Photo Shop tu.
Inshu ni kwenye kuweka label au?
Label ndio issue kubwa hapo,
View attachment 128324
Kwenye msafara wa mamba na ......
Label zinawekwa kwa Computer programed machine,hiyo itakuwa Photo Shop tu.
Izi photo shop sasa zinakua to much tutashindwa kuamini hata za kweli
Bado sijaipitisha kooni kwangu hiyo..sijui ladha yake ikoje?Hii coke ya mwaka 2014
Hata kopo hilo ni la coka