Coke Zero ,tahadhari katika unywaji

Youngblood

JF-Expert Member
Aug 1, 2014
18,967
55,070
Katika pita pita Zangu nimekutana na hii soda ya cocacola zero ya chupa ya udongo
Zamani nilizoea kuona zile za takeaway.

Sasa kitu nilichokiona kwenye maelezo ya kizibo yamenishtua sana ukizingatia watanzania wengi hatuna utaratibu wa kusoma maelezo.

Hizi coke zero pamoja na mambo mengine zina vitu vifuatavyo ndani yake.
1.Caramel
2.phosphoric acid
3.Aspartame hii ni sukari ya kutengeneza ni tofauti na sukari za asili kama ya miwa.
4. Sodium benzoate.
5. Caffeine etc...

Hizi soda ukinywa zina radha ya utamu kama coke ya kawaida lakini sukari iliyomo ndani sio sukari hali ni kemikali(artificial-aspartame), hizi nadhani walitoa makusudi kwa watu wenye tatizo wanapotumia sukari,kama wagongwa wa kisukari.

Point ya msingi ni kwamba hizi soda zimeeleza kwamba hazitakiwi kutumika na watu wa makundi yafuatayo.

1.Wajawazo.
2.Watoto.
3.Wanaonyonyesha

Hivyo tuwe makini,kuitambua soda hii ni rahisi,ina kifuniko cheusi tofauti na zile coke za kawaida,kama inavyoonekana hapo chini
Screenshot_20230720-121050_Gallery.jpg
20230720_095525.jpg
 
Katika pita pita Zangu nimekutana na hii soda ya cocacola zero ya chupa ya udongo
Zamani nilizoea kuona zile za takeaway.

Sasa kitu nilichokiona kwenye maelezo ya kizibo yamenishtua sana ukizingatia watanzania wengi hatuna utaratibu wa kusoma maelezo.

Hizi coke zero pamoja na mambo mengine zina vitu vifuatavyo ndani yake.
1.Caramel
2.phosphoric acid
3.Aspartame hii ni sukari ya kutengeneza ni tofauti na sukari za asili kama ya miwa.
4. Sodium benzoate.
5. Caffeine etc...

Hizi soda ukinywa zina radha ya utamu kama coke ya kawaida lakini sukari iliyomo ndani sio sukari hali ni kemikali(artificial-aspartame), hizi nadhani walitoa makusudi kwa watu wenye tatizo wanapotumia sukari,kama wagongwa wa kisukari.

Point ya msingi ni kwamba hizi soda zimeeleza kwamba hazitakiwi kutumika na watu wa makundi yafuatayo.

1.Wajawazo.
2.Watoto.
3.Wanaonyonyesha

Hivyo tuwe makini,kuitambua soda hii ni rahisi,ina kifuniko cheusi tofauti na zile coke za kawaida,kama inavyoonekana hapo chini
View attachment 2694134View attachment 2694135
Kwa kifupi soda zote hazifai, ukiwa kwenye misele yako ukikuta mazingira mazuri wanakamuwa juice ya Miwa hiyo ndio yenyewe.
 
Katika pita pita Zangu nimekutana na hii soda ya cocacola zero ya chupa ya udongo
Zamani nilizoea kuona zile za takeaway.

Sasa kitu nilichokiona kwenye maelezo ya kizibo yamenishtua sana ukizingatia watanzania wengi hatuna utaratibu wa kusoma maelezo.

Hizi coke zero pamoja na mambo mengine zina vitu vifuatavyo ndani yake.
1.Caramel
2.phosphoric acid
3.Aspartame hii ni sukari ya kutengeneza ni tofauti na sukari za asili kama ya miwa.
4. Sodium benzoate.
5. Caffeine etc...

Hizi soda ukinywa zina radha ya utamu kama coke ya kawaida lakini sukari iliyomo ndani sio sukari hali ni kemikali(artificial-aspartame), hizi nadhani walitoa makusudi kwa watu wenye tatizo wanapotumia sukari,kama wagongwa wa kisukari.

Point ya msingi ni kwamba hizi soda zimeeleza kwamba hazitakiwi kutumika na watu wa makundi yafuatayo.

1.Wajawazo.
2.Watoto.
3.Wanaonyonyesha

Hivyo tuwe makini,kuitambua soda hii ni rahisi,ina kifuniko cheusi tofauti na zile coke za kawaida,kama inavyoonekana hapo chini
View attachment 2694134View attachment 2694135
https://theconversation.com/who-expert-cancer-group-states-that-the-sweetener-aspartame-is-a-possible-carcinogen-but-evidence-is-limited-6-questions-answered-209957
 
Katika pita pita Zangu nimekutana na hii soda ya cocacola zero ya chupa ya udongo
Zamani nilizoea kuona zile za takeaway.

Sasa kitu nilichokiona kwenye maelezo ya kizibo yamenishtua sana ukizingatia watanzania wengi hatuna utaratibu wa kusoma maelezo.

Hizi coke zero pamoja na mambo mengine zina vitu vifuatavyo ndani yake.
1.Caramel
2.phosphoric acid
3.Aspartame hii ni sukari ya kutengeneza ni tofauti na sukari za asili kama ya miwa.
4. Sodium benzoate.
5. Caffeine etc...

Hizi soda ukinywa zina radha ya utamu kama coke ya kawaida lakini sukari iliyomo ndani sio sukari hali ni kemikali(artificial-aspartame), hizi nadhani walitoa makusudi kwa watu wenye tatizo wanapotumia sukari,kama wagongwa wa kisukari.

Point ya msingi ni kwamba hizi soda zimeeleza kwamba hazitakiwi kutumika na watu wa makundi yafuatayo.

1.Wajawazo.
2.Watoto.
3.Wanaonyonyesha

Hivyo tuwe makini,kuitambua soda hii ni rahisi,ina kifuniko cheusi tofauti na zile coke za kawaida,kama inavyoonekana hapo chini
View attachment 2694134View attachment 2694135
All chemical products ni hatari kwa AFYA
 
Katika pita pita Zangu nimekutana na hii soda ya cocacola zero ya chupa ya udongo
Zamani nilizoea kuona zile za takeaway.

Sasa kitu nilichokiona kwenye maelezo ya kizibo yamenishtua sana ukizingatia watanzania wengi hatuna utaratibu wa kusoma maelezo.

Hizi coke zero pamoja na mambo mengine zina vitu vifuatavyo ndani yake.
1.Caramel
2.phosphoric acid
3.Aspartame hii ni sukari ya kutengeneza ni tofauti na sukari za asili kama ya miwa.
4. Sodium benzoate.
5. Caffeine etc...

Hizi soda ukinywa zina radha ya utamu kama coke ya kawaida lakini sukari iliyomo ndani sio sukari hali ni kemikali(artificial-aspartame), hizi nadhani walitoa makusudi kwa watu wenye tatizo wanapotumia sukari,kama wagongwa wa kisukari.

Point ya msingi ni kwamba hizi soda zimeeleza kwamba hazitakiwi kutumika na watu wa makundi yafuatayo.

1.Wajawazo.
2.Watoto.
3.Wanaonyonyesha

Hivyo tuwe makini,kuitambua soda hii ni rahisi,ina kifuniko cheusi tofauti na zile coke za kawaida,kama inavyoonekana hapo chini
View attachment 2694134View attachment 2694135
Vipi kuhusu Pepsi diet??.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom