Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,508
- 13,974
Wakuu heshima iwe kwenu.
Ninahitaji pesa za sarafu(coins) za Tanzania. Iwe shs 1 ziwe kuanzia mwaka 1970,71,73,76,78 na 79,zinahitajika kama 100coins.
Mwenye nazo njoo PM haraka.
Mzigo unahitajika Arusha.
Asanteni!
Ninahitaji pesa za sarafu(coins) za Tanzania. Iwe shs 1 ziwe kuanzia mwaka 1970,71,73,76,78 na 79,zinahitajika kama 100coins.
Mwenye nazo njoo PM haraka.
Mzigo unahitajika Arusha.
Asanteni!