Ni ukosefu wa umakini.
Hizi barua zinakuwa prepared kwa kumtumia ya kipindi kilichopita, kama template.
Mwandaaji anafanya kubadili vile vitu specific, mengine yanabaki vile vile. So hapo ukute katumia template ya 2018 ka edit kote kasahau hapo kwenye mwaka.
Swali: Hakukuwa na reviewer? Yeye pia anaweza ku-overlook as it is an obvious error.
Correct me if am wrong, Msigwa wa Ikulu aliwahi kukosea mara kadhaa kwenye barua zake, ikiwemo ya kumpongeza Rais wa Zimbabwe.