Tunaomba link mkuu
Hivi mko serious kwenye kutafuta kazi kweli? Hizi kazi zote zimebandikwa Zoomtanzania.com nenda Tanzania Jobs | Jobs in Tanzania | Tanzania Employment
All interested applicants please submit your applications reference RAD1114 to :
Coca-Cola Kwanza,
HR Department,
P.O. BOX 7813,
Dar es Salaam.
msaada pls ! hapo kwenye alama nyekundu anamanisha nini?
Chini ya tarehe kwenye barua weka Re: RAD1114
Lakini nakushauri utumie njia ya email, achana na barua.
Chini ya tarehe kwenye barua weka Re: RAD1114
Lakini nakushauri utumie njia ya email, achana na barua.
mkuu hawa zoom wanan gomea unafaham email ya coca
Kang; Dah Mungu wangu nimeshapeleka with handwritten application sijaandika hiyo reference number ila nimeandika position ninayoomba nje juu ya barua....
MUNGU NIKUMBUKE MAISHA YA KUKAA NYUMBANI MPAKA LINI?
Halafu nilipofika pale nimewakuta mkaka na mdada nikawasalimu nakuongea na mlinzi then yule dada mlinzi akasema barua weka hapa tutapelekea wale wakaka wakasema nataka kuonana na HR wakawaruhusu walishika bahasha hii imenistua kidogo...anyway Namwachia Mungu ili mradi nimekidhi vigezo walivyovitoa na kupita naamini hatua itakayofuata ni Mungu pekee ndiye atafanya.
augustine@tz.ccsabco.com!!
Hakuna cha kuandika reference ya radi wala nini!
Siku zote usimwachie security barua yako ya kazi!! Peleka mwenyewe ndani ofisi ya HR
Wacha tujaribu bahati zetu..
Ilikuwa hairuhusiwi kuingia ndani...mpaka uwe na appointment.
Waongo hao! Kuonana na HR hadi uwe na miadi naye?? MD si ndo utaambiwa kua andika barua ya kuomba kuonana nae
Aisee hao walinzi wana sumbuaa.. Usiombe ukutane na wale wa Mohammed Builders... Sijui wana hisa katika kampuni, au wanalipwa million moja jwa mwezi?
kiongozi naomba msaada zaidi kwani nimejaribu kuapply kwahiyo email kitu haiendi. plz nisaidie kiongozi. weekend njema