Subira yavuta kheri, CUF wasubiriwe ila UKAWA wawe tayari to bow down to CUF demands. Niliwahi kusema mahali kuwa CUF ina wagombea wa kudumu kwenye urais. Prof. Lipumba na Maalim Seif wamegombea mara 4 hii ni ya 5!. Angalau Maalim akijaribu tena ana posibility ila Lipumba kura zake zimekuwa zikipungua mwaka hadi mwaka na kwa vile hakuwahi kugombea ubunge, kwake kugombea urais ndio full lifetime profession yake akikubali mwingine yeyote kugombea, he will be rendered jobless!. Kwa Lipumba kugombea urais kwake sasa imekuwa ni hobby anagombea tuu ili agombee tuu na sio kwa lengo la kupata ushindi!. Yuko tayari ku risk kulazimisha mgombea wa UKAWA lazima awe yeye and it doesn't matter kama anagombea kushinda au kushindwa kwa sababu lengo ni kugombea tuu na sio kushinda after all ameisha zoea kushindwa hivyo hata akishindwa kwake ni sawa tuu!.
Msubirieni tena yeye atajinyamazia kimya na kujifanya ni WanaCUF ndio walioamua lazima ama awe yeye mgombea wa UKAWA ama CUF watajiondoa ndani ya UKAWA.
Pasco
Kimsingi sisi wana chadema tulikiwa tunasita sana kulisema hili ila sasa inabidi tuliseme.Wenzetu walishakuwa tayari na majibu.Waliamini kuwa mgombea ndiye ambaye angepita lakini imekuwa kinyume na matarajio yako.Mpaka nina uhakika wenzetu hawako tayari.Hivyo inatupasa sisi chadema tusonge mbele.Imeshangazwa kusikia eti mpaka kamati kuu yao ikae tarehe 25.Kwani walipokuwa wanaingia makubaliano na UKAWA kamati kuu hawakushirikishwa??? Yaani ni mambo ya kitoto ambayo hayafai kwa mtu mzima.Chadema tusonge mbele hao hata wakikubali "masharti"yao yatakuwa mengi sana na ya ajabu ajabu!
I love you pasco....one day fikiria kuvua gamba broo
Subira yavuta kheri, CUF wasubiriwe ila UKAWA wawe tayari to bow down to CUF demands. Niliwahi kusema mahali kuwa CUF ina wagombea wa kudumu kwenye urais. Prof. Lipumba na Maalim Seif wamegombea mara 4 hii ni ya 5!. Angalau Maalim akijaribu tena ana posibility ila Lipumba kura zake zimekuwa zikipungua mwaka hadi mwaka na kwa vile hakuwahi kugombea ubunge, kwake kugombea urais ndio full lifetime profession yake akikubali mwingine yeyote kugombea, he will be rendered jobless!. Kwa Lipumba kugombea urais kwake sasa imekuwa ni hobby anagombea tuu ili agombee tuu na sio kwa lengo la kupata ushindi!. Yuko tayari ku risk kulazimisha mgombea wa UKAWA lazima awe yeye and it doesn't matter kama anagombea kushinda au kushindwa kwa sababu lengo ni kugombea tuu na sio kushinda after all ameisha zoea kushindwa hivyo hata akishindwa kwake ni sawa tuu!.
Msubirieni tena yeye atajinyamazia kimya na kujifanya ni WanaCUF ndio walioamua lazima ama awe yeye mgombea wa UKAWA ama CUF watajiondoa ndani ya UKAWA.
Pasco
Unaweza ukakasirika ukakuta umejipigiza ukutani, na ukajuta kuijua CUF, tulifurahi ilipojitoa kuwa CCM B, pamoja na CCM kutumia polisi kumtandika Lipumba bado analeta simtomfaamu, hakika malengo ya ukawa yanakatisha tamaa
Subira yavuta kheri, CUF wasubiriwe ila UKAWA wawe tayari to bow down to CUF demands. Niliwahi kusema mahali kuwa CUF ina wagombea wa kudumu kwenye urais. Prof. Lipumba na Maalim Seif wamegombea mara 4 hii ni ya 5!. Angalau Maalim akijaribu tena ana posibility ila Lipumba kura zake zimekuwa zikipungua mwaka hadi mwaka na kwa vile hakuwahi kugombea ubunge, kwake kugombea urais ndio full lifetime profession yake akikubali mwingine yeyote kugombea, he will be rendered jobless!. Kwa Lipumba kugombea urais kwake sasa imekuwa ni hobby anagombea tuu ili agombee tuu na sio kwa lengo la kupata ushindi!. Yuko tayari ku risk kulazimisha mgombea wa UKAWA lazima awe yeye and it doesn't matter kama anagombea kushinda au kushindwa kwa sababu lengo ni kugombea tuu na sio kushinda after all ameisha zoea kushindwa hivyo hata akishindwa kwake ni sawa tuu!.
Msubirieni tena yeye atajinyamazia kimya na kujifanya ni WanaCUF ndio walioamua lazima ama awe yeye mgombea wa UKAWA ama CUF watajiondoa ndani ya UKAWA.
Pasco