Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,052
- 24,442
Ni ngumu kwa baadhi ya mashabiki wenye mrengo fulani hivi kuamini, lakini huu ndio ukweli! Simba inakwenda kuweka rekodi mpya kabisa kwa kizazi hiki kwa kufika mbali sana kwenye mashindano ya Club bingwa Africa!
Ni wazi kabisa kwenye group lake hakuna wa kumzuia kuongoza ama kuingia robo fainali hadi hivi sasa!
Mechi ngumu ilikuwa ni kati yake na Al Ahly ambapo imekwisha na Simba ikajinyakulia point tatu muhimu na kuongoza kundi!
Na pengine mechi ya maridiano na Al Ahly kwao itakuwa ngumu, pia ila naamini vijana watakaza pengine kushinda ama hata sare!
Zimebaki mechi nne mzunguko wa makundi uishe, kwa kiwango cha Simba ilichonacho hivi sasa uwezekano wa kushinda mechi zaidi ya mbili kati ya hizo zilizobaki na kujikatia tiketi ya kucheza robo fainali ni mkubwa sana!
Zipo dalili za kila aina zinazoonyesha kuwa simba anaweza kuongoza katika kundi lake, na endapo itakuwa hivyo basi robo fainali atacheza na atayemaliza nafasi ya pili kutoka katika makundi yanayoshiriki, na hiyo itakuwa ni do or die hadi kieleweke, simba itaingia nusu fainali!
Na kitakachowashangaza wengi ni matokeo ya nusu fainali kuwa ya kuduwaza hasa wale wasioipenda Simba na mafanikio yake!
Mechi ya fainali itaacha historia ya karne kwenye kizazi hiki!
Viva Simba
Ni wazi kabisa kwenye group lake hakuna wa kumzuia kuongoza ama kuingia robo fainali hadi hivi sasa!
Mechi ngumu ilikuwa ni kati yake na Al Ahly ambapo imekwisha na Simba ikajinyakulia point tatu muhimu na kuongoza kundi!
Na pengine mechi ya maridiano na Al Ahly kwao itakuwa ngumu, pia ila naamini vijana watakaza pengine kushinda ama hata sare!
Zimebaki mechi nne mzunguko wa makundi uishe, kwa kiwango cha Simba ilichonacho hivi sasa uwezekano wa kushinda mechi zaidi ya mbili kati ya hizo zilizobaki na kujikatia tiketi ya kucheza robo fainali ni mkubwa sana!
Zipo dalili za kila aina zinazoonyesha kuwa simba anaweza kuongoza katika kundi lake, na endapo itakuwa hivyo basi robo fainali atacheza na atayemaliza nafasi ya pili kutoka katika makundi yanayoshiriki, na hiyo itakuwa ni do or die hadi kieleweke, simba itaingia nusu fainali!
Na kitakachowashangaza wengi ni matokeo ya nusu fainali kuwa ya kuduwaza hasa wale wasioipenda Simba na mafanikio yake!
Mechi ya fainali itaacha historia ya karne kwenye kizazi hiki!
Viva Simba