JaphetJacob
Senior Member
- Dec 11, 2015
- 106
- 121
Nafikiri Clouds wamekuja na ubunifu mkubwa sana katika taarifa za siku za habari,
Pale Babra Hassan, kule Masoud Kipanya\KP na Babie Kabaya
Wanafanya habari isionekane serious na kupunguza zile “kumradhi” na mikwamokwamo
Zaidi kuna entertainment za hapa na pale
Kongole kwao, mawazo na akili kubwa
Pale Babra Hassan, kule Masoud Kipanya\KP na Babie Kabaya
Wanafanya habari isionekane serious na kupunguza zile “kumradhi” na mikwamokwamo
Zaidi kuna entertainment za hapa na pale
Kongole kwao, mawazo na akili kubwa
