Clouds tv waonesha vita ya Libya


Ujue vita ya Libya haikutokana na wananchi kukosa mahitaji yao au kukosa maendeleo, vita ya Libya ilitokana na chokochoko za wazungu ili kumng'oa Gadafi.
 

Joseph kusaga yeye ni Ukawa na Wafanyakazi wengi wa Clouds ni Ukawa lakini Joseph haishi Dsm yupo Dubai siku hizi pia yeye huwa hayupo front kusaka michongo ikulu na ccm, mjanja wao Ruge Mtahaba ni ccm yeye mda wote yupo na ndiye kiungo kati ya clouds na Serikali huku akiwa rafiki mkubwa wa akina January na wakuu wengi wa Serikali ndiyo maana huwa hafichi mahaba yake Kama Dialo wa star TV, ila kuna utofauti kidogo kati ya clouds na Star TV kwani kidogo clouds huwa wanabalance habari za Ukawa kuliko star tv ambao sasa wapo Kama TBC.
 
Chanzo cha vita ya Libya hakifanani na hali harisi ya Tanzania kwani walibya walivamiwa na wazungu na sasa wanajuta kuwaunga mkono wazungu.
 
....bongo eh,bongo dar es salaam, utalia lia lia, bongo dar es salaam!
...bongo ya sasa sio bongo ya mwaka 47......
Nani ataleta vita hapa kama sio hao wenye silaha!?
 
Iko siku wananchi wenye hasira watachoma moto clouds na star TV

USHAURI WA BURE;
Kusema kweli kwa mtazamo wangu ni makosa makubwa kwa vyombo vya habari (vya watu) binafsi kujiingiza ktk propaganda na kuwaonyesha wananchi picha za vitisho ktk kipindi cha uchaguzi kama hiki, wanahatarisha usalama na wanavijengea uhasama vyombo vyao.
Achaneni na vipindi kama hivyo.
 
Wa-bongo bana!!! Ujasiri wa "fake identity" na "keyboard". "Hali ikishakuwa tete" wote wanapanda "Dar Express" na "Princes Muro" na kuelekea kunakojulikana... Shame on you!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…