Wana tumiwa ka ndomu, hawajui hata sababu za vita vya Libya ndio maana hawajui hata rais alieondolewa libya, sasa watu kama hawa ni wa kuwajadili kweli? Kwa nini wasitumie mfano wa Marekani walipoamua kuongozwa na Rais mweusi? Majizi na mafisadi ndio yametufikisha hapa, mwingine haikuwa kazi rahisi kufika hapa, hawa watu IQ zao zimepoozwa na ukawa. Lazima tuchague ukawa.