gwa myetu
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 4,473
- 4,671
Wanaoangalia ni sisi Wa TZ. Wa kima cha chini au
kuanzia kifurushi cha 23,500 unaiona mkuu
Wanaoangalia ni sisi Wa TZ. Wa kima cha chini au
basi hujui kupendaNajaribu kuipenda hii channel nashindwa kabisa,....!!!
mbona nimeandika? hujui kusoma? na picha je? huoni?Channel # Ngapi?
karibu sanaSafiiii
Kwani ni watanzania wangapi wanaweza kulipia DSTV siku hizi?..
nitalifanyia kaziWarekebishe kwanza sauti yao! Ktk Tv zote za tz, clouds wa sauti mbaya! Vipindi vyote vya clouds tv sauti ni nyembamba hata iwe ktk sub woofer, itatoka kasoro na zingine!
Kama wee ni staff member, rekebisheni hii. Mi ni mpenzi wa Tv zote, hivyo inapendeza nanyi mkiwa sawa!nitalifanyia kazi
karibu sana mkuuKama wee ni staff member, rekebisheni hii. Mi ni mpenzi wa Tv zote, hivyo inapendeza nanyi mkiwa sawa!
Asante!
CCTV mkuu.Hakuna chaneli yoyote ya bure DSTV isipokuwa #101
Kimataifa wapo muda wanapatikana katika satellite ya eutelsat 3 ambayo inapatikana Africa nzimaHongereni clouds tv kwa kujitanua katika soko la kimataifa kwa kujiunga na DSTV, kujiunga na DSTV ni jambo moja na kuboresha vipindi vyenu ni jambo lingine.
Haya wakongwe wa burudani EATV a.k.a channel 5 na nyinyi tunawategemea kujiunga DSTV muda si mrefu, Dr Mengi aache ubahiri
Huyu mzee na EATV atakubali kweli alivyo mtata ,ITV YENYEWE ILIKUWA MBINDE KUINGIA KWENYE VINGAMUZI VINGINE